Mose Plzzz
Member
- Feb 1, 2018
- 6
- 1
Nina A ya Biology, B ya chemia na C ya Physics nimependa kwenda chuo na sio advance lakini sijajua vyuo gan vizur ambavyo naweza kuapply naomben mnisaidie jaman
Clinical medicineUnataka kusomea nini ili uambiwe vyuo vya kusomea
Omba clinical medicine Mafinga COTC.Clinical medicine
Mm nipo tofauti kidogo...Nina A ya Biology, B ya chemia na C ya Physics nimependa kwenda chuo na sio advance lakini sijajua vyuo gan vizur ambavyo naweza kuapply naomben mnisaidie jaman
Nenda Advance uwe awarded form six inauzito sana utakuwa na privilege nzuri hapoo mbeleni ila jitaidi usipate four wala zero skuizi bila form six upati kozi za diploma huwa inaongeza nguvu sana katika kuchaguliwa kozi zozote konk za science hatuombei ila ikitokea umeanguka basi hata tatu ya advance nzuri na ukizingatiaa matokeo yako ya four mazuri nenda advance dogo usijaliiNina A ya Biology, B ya chemia na C ya Physics nimependa kwenda chuo na sio advance lakini sijajua vyuo gan vizur ambavyo naweza kuapply naomben mnisaidie jaman