True story imenitokea a few days ago:
Kuna jamaa Fulani alikuja kwangu nikamkopesha hela kiasi kaweka kitu cha bond ili siku ikifike alete pesa yangu nimpe kitu chake!
Jamaa kakaa muda umekwisha zaidi ya miezi miwili hajaleta pesa yangu!
Nampigia simu siku ya kwanza Mara tatu kwa nyakati tofauti...
Kwa maelezo yako ni kuwa " lisu alidai magu alitaka kumuua"
Hata wew unaweza kutuambia Nani aliratibu jaribio la mauaji ya lisu? Tena kwenye eneo la viongozi wa serikali ambalo linalindwa na jeshi la serikali pamoja na vyombo vya kiintelejensia!
Je, unajua Nini kilitokea baada ya jaribio Hilo...
Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)
Kukazia hukumu
Thread starterinyele
Start dateThursday at 2:07 PM
Tagshukumu
First Prev2 of 2
Subscribe
•••
I
inyele
JF-Expert Member
Today at 4:04 PM
Add bookmark
#21
Chukulia mfano unamdai mtu 100,000 na mahakama ikaona ndio haki yako na hakimu...
Wakati napewa maelekezo ya kukazia hukumu na kujaza fomu ya wito, niliweka hoja mezani kwa makarani waliokuepo(kwa mdomo). Nikawaambia kuwa naona naendelea kutumia pesa zangu zingine katika kudai pesa ambayo tayari hukumu imeagiza
Nikaomba mahakama inilinde kwa maana ya kuelekeza gharama...
Chukulia mfano unamdai mtu 100,000 na mahakama ikaona ndio haki yako na hakimu katoa maamuzi kwamba pesa hizo zilipwe ndani ha siku 30.
Mdaiwa hajalipa siku zote 30 zikaisha unaamua kurudi mahakamani kuuliza kuhusu utaratibu, unaambiwa jaza fomu lipia 5,000 . Unatekeleza na mdaiwa kuitwa kuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.