Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
intelligence quotient
Recent content by intelligence quotient
I
Ni Ujinga kuamini Tundu Lisu atamshinda Mbowe Kwa sababu hata Mwabukusi alishinda uRais TLS licha ya vikwazo. Wajumbe wa Chadema Wengi ni la 7B!
Sasa mleta hoja, ndiye anayeonekana mjinga. Bila shaka ulifuatilia matokeo, ukayaona.
intelligence quotient
Post #20
Aug 20, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Huyu kaka namjua ila sijui anafaidika na nini kuvaa mavazi ya kike na kwenda mahakamani
Huenda ametumwa ila waliomtuma wapo nyuma ya muda/wakati/majira!
intelligence quotient
Post #23
Aug 18, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Anayemfokea mtumishi wa mahakama anapaswa kuadhibiwa
Aadhibiwe kwa Sheria ipi?! Au aadhibiwe kimagumashi au kwa rejea ipi?!
intelligence quotient
Post #3
Aug 18, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Ukishangaa ya Polepole usisahau kushangaa ya mwendazake na Mama
Anaruhusiwa kuokoka, na huenda akawa mwema kuliko alivyo kuwa mwanzo.
intelligence quotient
Post #81
Jul 14, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Kama Kada Mwandamizi na Mwanadiplomasia nguli anaweza kumkosoa boss wake hadharani hivi, basi Rais amezungukwa na genge hatari sana la kisiasa
Inakuwaje au itakuwaje ikiwa aliyezungukwa ni hatari?!?!
intelligence quotient
Post #126
Jul 14, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Lissu & Gwajima mmekosa shukrani (video)
Tuko pa1, safi sana ukiwa unajitambua na unafahamu kuwa unajitambua.💯👏
intelligence quotient
Post #68
Jun 14, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Lissu & Gwajima mmekosa shukrani (video)
Niko somewhere sheikh....... Means hoja ya msingi sijaiona kutoka kwa huyo sheikh.
intelligence quotient
Post #60
Jun 13, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Lissu & Gwajima mmekosa shukrani (video)
Mtu anaweza kutema uchafu ila wale wakaona ni madini!
intelligence quotient
Post #58
Jun 13, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Hapa nani kaingia kwenye mfumo?
Heko! Hoja iko vema. Ushauri, ikikupendeza hoja zako wajibu wale welevu (panda mbegu panapofaa). Wale wapumbavu(wanaojitoa ufahamu/chawa/washezi/punguani), ikifaa usiwajibu! Wapumbavu wengi, welevu wachache!
intelligence quotient
Post #122
Jun 8, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
PreGE2025
Moto wa No Reforms No Election watinga Igima, Mlimba. Wananchi waitika, Heche aongoza Tone Tone
Wale wengine wanatapatapa, sio ajabu kwa binadamu anayetapatapa, pasi matumaini ya kuishi!
intelligence quotient
Post #15
Jun 5, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
PreGE2025
Moto wa No Reforms No Election watinga Igima, Mlimba. Wananchi waitika, Heche aongoza Tone Tone
Chadema kwa sasa imekuwa imani, inatawala imani za watanzania.
intelligence quotient
Post #13
Jun 5, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
PreGE2025
CCM yarekebisha Katiba yake, kwanini ya nchi wanakwama?
Hujui kuwa katiba ikibadilishwa ndio anguko lao?!
intelligence quotient
Post #16
May 29, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
PreGE2025
Mimi CHADEMA, lakini Injinia Hersi akigombea ubunge naachana na itikadi yangu ya No reforms No Election naenda kumpigia kampeni na kura
Uliona wapi? Shetani akimtakia mema binadamu!
intelligence quotient
Post #48
May 29, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Nisaidieni mbona Mimi naona huu ni upumbavu USIO faa Kufanywa na Jaji?unafuta ruzuku kwa mtu hasiyeshiriki uchaguzi SI ameisha ikataa outomatic?
Kiumbe kilichokufa muda mfupi uliopita, hutoa harufu inayofanana na mzoga. Usiishangae hiyo harufu!
intelligence quotient
Post #6
May 28, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
I
Kwa kuwa platform atayobakia nayo kuendeleza chuki kwenye jamii ni lile kanisa lake, mamlaka zimfungie huduma hiyo tuone jeuri anaitoa wapi
Unahamasisha udhalimu. Giza halishindi nuru!
intelligence quotient
Post #178
May 28, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
intelligence quotient
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register