Recent content by intelligence quotient

  1. I

    Huyu kaka namjua ila sijui anafaidika na nini kuvaa mavazi ya kike na kwenda mahakamani

    Huenda ametumwa ila waliomtuma wapo nyuma ya muda/wakati/majira!
  2. I

    Anayemfokea mtumishi wa mahakama anapaswa kuadhibiwa

    Aadhibiwe kwa Sheria ipi?! Au aadhibiwe kimagumashi au kwa rejea ipi?!
  3. I

    Ukishangaa ya Polepole usisahau kushangaa ya mwendazake na Mama

    Anaruhusiwa kuokoka, na huenda akawa mwema kuliko alivyo kuwa mwanzo.
  4. I

    Lissu & Gwajima mmekosa shukrani (video)

    Tuko pa1, safi sana ukiwa unajitambua na unafahamu kuwa unajitambua.💯👏
  5. I

    Lissu & Gwajima mmekosa shukrani (video)

    Niko somewhere sheikh....... Means hoja ya msingi sijaiona kutoka kwa huyo sheikh.
  6. I

    Lissu & Gwajima mmekosa shukrani (video)

    Mtu anaweza kutema uchafu ila wale wakaona ni madini!
  7. I

    Hapa nani kaingia kwenye mfumo?

    Heko! Hoja iko vema. Ushauri, ikikupendeza hoja zako wajibu wale welevu (panda mbegu panapofaa). Wale wapumbavu(wanaojitoa ufahamu/chawa/washezi/punguani), ikifaa usiwajibu! Wapumbavu wengi, welevu wachache!
  8. I

    PreGE2025 Moto wa No Reforms No Election watinga Igima, Mlimba. Wananchi waitika, Heche aongoza Tone Tone

    Wale wengine wanatapatapa, sio ajabu kwa binadamu anayetapatapa, pasi matumaini ya kuishi!
  9. I

    PreGE2025 CCM yarekebisha Katiba yake, kwanini ya nchi wanakwama?

    Hujui kuwa katiba ikibadilishwa ndio anguko lao?!
  10. I

    Nisaidieni mbona Mimi naona huu ni upumbavu USIO faa Kufanywa na Jaji?unafuta ruzuku kwa mtu hasiyeshiriki uchaguzi SI ameisha ikataa outomatic?

    Kiumbe kilichokufa muda mfupi uliopita, hutoa harufu inayofanana na mzoga. Usiishangae hiyo harufu!
Back
Top Bottom