Habari wanamaendeleo, nimepata gari nzuri IST kwa Tsh 5M Kule zanzibar, na nimeipenda sana namba 130HL, nahitaji kuileta huku Tz bara, na sijui naanzia wapi
Nahitaji full details na GHARAMA zinaweza kuwa kiasi gani mpaka naingia barabarani.
Nitangulize shukran
Habari za mida wanazengo,
Kama kichwChcha habari kinavyojielezea, naitaj kujua ni njia gani kwa mwaka huu 2022 zinaweza kutumika kupata permanent residence Canada na kupata kazi yeyote ya kuanzia na itagharimu kiasi gani process yote?
NATANGULIZA ASANTE.
Habari wanazengo,
Leo hii nimekuja kumaliza misconceptions na mijadala ya uoga waliokua nayo vijana mitaani, nimekua nikiona nyuzi nyingi humu zikiwapotosha vijana kuhusu uhitaji na vigezo vya kufanikiwa, lakini nimeona nisikae tena kimya wakati naona vijana wenzangu wanapotea, hivyo nimeamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.