Recent content by INSURER

  1. I

    MASTERS IN INTERNATIONAL BUSINESS-UDSM

    Wanabodi, nimeona nirudi shule maana uzee nao huo jirani ...nimevutiwa na Masters in international business pale UDSM baada ya kureview programme contents na kujiridhisha kuwa nitaongeza kitu....naomba kwa anayefahamu hii program kwa evening inafundishwa mara ngapi kwa wiki? Siku zipi za...
  2. I

    Tahadhari: Catalunya Mwenge si salama

    Asante. Nipo nafatilia kwa karibu sana
  3. I

    Tahadhari: Catalunya Mwenge si salama

    Kuna mazingira unaweza kulazimika. Ila nimetoa tahadhari naamini wapo watakaochukua tahadhari zaidi.
  4. I

    Tahadhari: Catalunya Mwenge si salama

    Wakuu jana baada ya pilika za kazi nilikuwa na ratiba ya kukutana na rafiki zangu hapo Catalunya opposite na Calabash kwa mazungumzo maalum.Nilipofika Mlinzi wa pale (Masai) akanieleza sehemu ya kupaki. Ndani ya gari nikaacha begi lenye laptop na vitu vingine lakini kwa taadhari nilishaliweka...
  5. I

    Suzuki carry inauzwa tsh 5,990,000 tu!

    Wanajamii Forum, Kuna mtu wangu wa karibu ameomba niweke tangazo hili hapa.Suzuki Carry ni ya mwaka 1998 na bei mnaweza kuwasiliana na kukubaliana. Kwa mawasiliano zaidi mpigieni namba 0717601432.
  6. I

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Tunalea ujinga na Kanisa linaendelea kuomba serikali dhaifu kuchukua hatua!! Kanisa lichukue hatua ngumu kidogo kukomesha hili! Nikisema hatua ngumu kidogo najua jinsi Kanisa linachoweza kufanya ktk mazingira hatarishi kuinjilisha au hata imani za waamini kuwa mashakani na hofu kuu.
  7. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    Asanteni wadau, the deal is officially :closed_2:.
  8. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    :A S-coffee:
  9. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    Bado kipo mkuu.Karibu
  10. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    :ranger:
  11. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    Asante check PM
  12. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    Shukrani mkuu,dharura ndio inafanya niuze lakini nilikuwa na malengo makubwa na hilo eneo longtime.
  13. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    Mkuu sifahamu ilipo hiyo shule maana si mwenyeji wa huko ila kiwanja kilipo unafika magari yanapogeuzia pale Kisemvule mjini (kama vituo vinne kutoka vikindu) then kuna njia karibu na hospitali ya wakatoliki unashuka nayo kama dk 10 tu kwa bodaboda au gari.Ni karibu na inapojengwa zahanati...
  14. I

    Kiwanja kinauzwa tzs 2,000,000 tu!

    Ni kweli!! nauza kwasababu ya Dharura tu!!
Back
Top Bottom