Wanabodi, nimeona nirudi shule maana uzee nao huo jirani ...nimevutiwa na Masters in international business pale UDSM baada ya kureview programme contents na kujiridhisha kuwa nitaongeza kitu....naomba kwa anayefahamu hii program kwa evening inafundishwa mara ngapi kwa wiki? Siku zipi za...
Wakuu jana baada ya pilika za kazi nilikuwa na ratiba ya kukutana na rafiki zangu hapo Catalunya opposite na Calabash kwa mazungumzo maalum.Nilipofika Mlinzi wa pale (Masai) akanieleza sehemu ya kupaki. Ndani ya gari nikaacha begi lenye laptop na vitu vingine lakini kwa taadhari nilishaliweka...
Wanajamii Forum,
Kuna mtu wangu wa karibu ameomba niweke tangazo hili hapa.Suzuki Carry ni ya mwaka 1998 na bei mnaweza kuwasiliana na kukubaliana.
Kwa mawasiliano zaidi mpigieni namba 0717601432.
Tunalea ujinga na Kanisa linaendelea kuomba serikali dhaifu kuchukua hatua!! Kanisa lichukue hatua ngumu kidogo kukomesha hili! Nikisema hatua ngumu kidogo najua jinsi Kanisa linachoweza kufanya ktk mazingira hatarishi kuinjilisha au hata imani za waamini kuwa mashakani na hofu kuu.
Mkuu sifahamu ilipo hiyo shule maana si mwenyeji wa huko ila kiwanja kilipo unafika magari yanapogeuzia pale Kisemvule mjini (kama vituo vinne kutoka vikindu) then kuna njia karibu na hospitali ya wakatoliki unashuka nayo kama dk 10 tu kwa bodaboda au gari.Ni karibu na inapojengwa zahanati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.