kuna kiongozi mmoja wa dini aliwauliza swali kuhusu hiyo ishu ya kuchanganya dini na siasa hamjamjibu hadi leo ,,swali lake aliwahoji mbona wanapojenga shule hamuwaatahadhirishi kuwa wanaiingilia serikali na wanachanganya elimu na dini ? Wanapojenga hospitali mbona hamuwatahadharishi...
Hiyo ya kuomba kurushiwa picha ni kama sababu tu ya kujificha but lengo lako lilikuwa ni kukagua simu ya mumeo sasa unapoingia kwenye simu ya mtu bila ridhaa yake lolote unalokutana nalo huna haja ya kulalamikia umelitafuta mwenyewe kwa mikono 2 hivyo mshukuru mola tu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mbona Guinea aliruhusu hilo mbele ya stars ?? Hii kitu siyo siyo kuruhusu bali unalazimishwa kiuhalisia mechi za maamuzi kama hizi zinataka wachezaji kujitoa na kujitambua wanaenda kufanya nini uwanjani pia hata kocha kuwa na mbinu zaidi ya moja ,, fullback za pembeni muda wote wakipata mpira...
Mbona Guinea aliruhusu hilo mbele ya stars ?? Hii kitu siyo siyo kuruhusu bali unalazimishwa kiuhalisia mechi za maamuzi kama hizi zinataka wachezaji kujitoa na kujitambua wanaenda kufanya nini uwanjani pia hata kocha kuwa na mbinu zaidi ya moja ,, fullback za pembeni muda wote wakipata mpira...
Mbona Guinea aliruhusu hilo mbele ya stars ?? Hii kitu siyo siyo kuruhusu bali unalazimishwa kiuhalisia mechi za maamuzi kama hizi zinataka wachezaji kujitoa na kujitambua wanaenda kufanya nini uwanjani pia hata kocha kuwa na mbinu zaidi ya moja ,, fullback za pembeni muda wote wakipata mpira...
Kama hawakuwa na timu ya ushindani hapo walifikaje ?? Mpira una matokeo 3 na kila mshiriki anastahili kushinda ikiwa itawezekana hivyo mimi sioni ajabu hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.