Nafikiri Mwigulu ni tatizo kila mahali hata kwa chama chake,sio mtu wa kucheka naye atawafikisha pabaya,maneno yake hayana staha,heshima wala uvumilivu wa kisiasa,yeye siasa anaona kama vile ni vita,ugomvi,uadui na uhasama wakati kukosoana ni jambo la kawaida kabisa katika siasa,huyu mtu naona...