Recent content by injinia muha jv

  1. injinia muha jv

    Bei ya mafuta yazidi kushuka

    Vipi mikoa mingine kama Kigoma, Mwanza, Arusha, Dodoma nk
  2. injinia muha jv

    NTA level ya mtu aliemaliz Form Four ni ipi?

    Wakuu naomba kujuzwa NTA level la muhitimu wa Kidato cha Nne kwa mtu anaye apply Chuo cha Diploma
  3. injinia muha jv

    Naomba kujuzwa Vyuo vya Serikali vinavyotoa kozi ya medical labalatory

    Jmn me naomba kuvijua vyuo vya serikali vinavyotoa kozi ya medical laboratory na ada zake pia na vigezo vyakusoma kozi hiyo na kwamtu anaeanzia diploma atasoma kozi hyo kwa mudagani
  4. injinia muha jv

    Ipi kozi bora kati ya Clinical Madecine na Medical Laboratory katika kupata ajira?

    Jamani, naomba ufafanuzi kidogo juu ya hizo kozi mbili na ni ipi ndo kozi nzuri kusoma kwa ngazi ya diploma na ni ipi ndo ina nafasi nyingi za ajira?
  5. injinia muha jv

    Naomba kujuzwa tofauti ya Ordinary Diploma in Clinical Medicine na Ordinary Diploma in Clinical Medicine (upgrading)

    Wakuu, kuna chuo kimeorodhesh hizi kozi mbili kuwa zinatolewa sasa mmi sijaelewa tofauti yake maana kwa mimi nimeona Kama vile zinafanana lakini wao wamezitofautisha hata muda wake wakuzisoma nitofauti na ada yake pia ni tofauti anae zifahamu anielezee vizuri nizielewe kwa upana zaidi.
  6. injinia muha jv

    Natafuta mwanamke aliyetayari kuolewa na kuishi na mume kwa upendo

    Saafi shemejii Sent using Jamii Forums mobile app
  7. injinia muha jv

    Hivi kwanini "Bongo fleva" zimejaa mashairi yanayoashiria matusi, uzinzi na uasherati?

    Duuu nikwel ndg yng lkn ktk maish ukiona mtu anafanya vitu vyaajabu na vinapata tija mbele zawatu basi tatzo sio yeye ni ilejamii inayo msapot yeye kufany ivyo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. injinia muha jv

    Mwanaume huwa na tamaa akiwa na kipato, mwanamke huwa na tamaa akiwa hana kipato(kafulia)

    Tamaa hutokana namtu mwenyew na mazingira aliyo yakuta wakat anaanza kujua maisha ninin Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom