Recent content by injinia mganga

  1. injinia mganga

    UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

    Mkuu cjakupata fresh
  2. injinia mganga

    UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

    Duuuh wenda degree ya Ngono
  3. injinia mganga

    Msaada: Kuchelewa kujiunga na form five 2016

    Mkuuu na mm nina tatizo kama lako
  4. injinia mganga

    Ndalichako: Walimu wa sanaa wanatosha. Serikali haiwezi kuajiri walimu wa masomo hayo kwa sasa

    Ndalichako Asitisha Ajira za Walimu Wa Masomo ya Sanaa MUUNGWANA BLOG / 5 hours ago WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, ametoa masharti mapya ya ajira za ualimu nchini, huku akisema Serikali haitaajiri walimu wa masomo ya sanaa (arts) kwa kuwa wapo wa...
  5. injinia mganga

    NATAFUTA SHULE YA A LEVEL MWANZA YENYE ADA NAFUU DAY (EGM)

    Hapana thaqafa ina title kubwa natafuta shule ambayo haina title kubwa kitaifa kwa mkoa wa mwanza
  6. injinia mganga

    NATAFUTA SHULE YA A LEVEL MWANZA YENYE ADA NAFUU DAY (EGM)

    Ndugu wana jf habari za wakati natafuta shule ya secondary mwanza yenye five na six ambayo ni day na yenye ada nafuu na isio na jina kubwa kitaifa mchepuo EGM Asanteni
  7. injinia mganga

    Chemsha bongo ukipata nakutumia pesa ya bando

    Tembea kwa kurudi nyuma ukikaribia atamka jifanye humuoni rudi unapotoka atakuchukua na kukurudisha unapo taka kwenda akizani ndipo ulipo toka
  8. injinia mganga

    Elimu Yetu ina Mabondemabonde

    Chuku kibeba mchanga na koleo njoo hapa home nikupe mchanga ukafukie ili tusije tukajikwaa
  9. injinia mganga

    Wanafunzi vyuo vya ualimu kusitisha masomo wiki mbili kusahihisha mitihani ya STD 4

    Nakuunga mkuu hata drs la7 anaweza kusahihisha yaani A,B,C, na D uzoefu unahitajika hahaha
Back
Top Bottom