Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Rais wa awamu ya Tano, Dkt. John...
Tanzania na Malawi ziko ukingoni mwa mvutano wa Kidiplomasia kufuatia uamuzi wa Tanzania kuboresha Bandari ya Mbamba Bay, iliyoko kwenye mwambao wa Ziwa Nyasa.
Malawi imeilaumu Tanzania kwa kuanzisha mradi wa kuboresha na kupanua Bandari ya Mbamba Bay kwenye Ziwa Nyasa bila kuomba ridhaa, huku...
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa ofisini kwake, jijini Arusha.
Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa hilo wamempongeza Makonda kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya...
Roku TV, Android TV, Smart TV, AI TV, Google TV, Mini LED TV, QLED TV, na kadhalika ni baadhi ya maneno ya masoko yanayotumiwa na wazalishaji wa TV hivi sasa. Kusema ukweli, ni ngumu kutofautisha kati yao ikiwa wewe si mtaalamu katika kuhusu televisheni.
Android TV na Smart TV ni sawa sana hadi...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa Bungeni leo wakati akiwasilisha Hotuba ya kuhusu Makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi yake kwa mwaka 2024/25 amebainisha kuwa Serikali kutokana na mafanikio ya programu ya The Royal Tour, Serikali imetengeneza filamu nyingine yenye hadhi ya kimataifa ya...
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni rasmj katika hafla ya Uzinduzi wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi utakaofanyika Kesho katika ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam
Kwa mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya mwaka 2022 kazi ya Tume hiyo ni pamoja na;
Hata kama ushabiki upo chini sio kweli kwamba wataingia watu wa Arusha peke yake (ni kweli sio kwa mechi zote), ila ametoa sababu ambayo kwa kweli sio sababu. Iweje tunafanya vitu bila kuwaza mbele?
Kwa sasa ni Simba na Yanga. Vipi kwa baadaye? Acha baadaye, vipi kwa michezo ya Kimataifa kwa Klabu na Taifa? Huoni leo ukisema Taifa Stars inacheza na timu fulani Arusha faida tutazopata?
Mambo mengi sana yangeweza kufanyika hapo. Hii ni kama wamejiwekea njia ya ulaji wa baadaye, utakuja kusikia baada ya miaka mitano wanafanya ukarabati mkubwa wa kuongeza uwanja
Hii Wizara tumepigwa na kitu kizito. Nilidhani kwa kuwa Mwana FA ni mtu wa michezo atakuwa mtu safi pale ila nimegundua ameshaingia kwenye na sasa anawaza kama waliokuwepo tu
Ni kweli kabisa hapa Naibu Waziri amejibu kisiasa. Watu wanaweza hata kutoka mikoa na nchi nyingine kuja. Mashabiki wa Yanga walisafiri kutoka hapa kwenda Rwanda kuangalia mechi yao dhidi ya Al-Merrikh SC
Naibu Waziri wa Saana, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amedai sababu moja wapo ya kujenga Uwanja wa Michezo unaochukua watu 30,000 mkoani Arusha ni kuwa kwa wastani katika mechi watu hawataujaza uwanja huo ukizingatia kuwa Uwanja wa ‘Kwa Mkapa’ unaochukua watu 60,000 ukiwa katika...
Wakati watumiaji wa Android walipoambiwa kuchungza vifaa vyao kwa programu (Apllications) zenye hatari kubwa ya kuwa na Wadudu (Malware) wa "SpyLoan" wasio salama, tishio jipya lilijitokeza kwa jina la "Xamalicious," mlango wa nyuma uligundulika hivi karibuni katika programu kadhaa kwenye Google...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.