Recent content by Influenza

  1. Influenza

    Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

    Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Rais wa awamu ya Tano, Dkt. John...
  2. Influenza

    Huenda mgogoro wa Kidiplomasia ukaanza kati ya Tanzania na Malawi baada ya uboreshaji wa Bandari ya Mbamba Bay kuanza

    Tanzania na Malawi ziko ukingoni mwa mvutano wa Kidiplomasia kufuatia uamuzi wa Tanzania kuboresha Bandari ya Mbamba Bay, iliyoko kwenye mwambao wa Ziwa Nyasa. Malawi imeilaumu Tanzania kwa kuanzisha mradi wa kuboresha na kupanua Bandari ya Mbamba Bay kwenye Ziwa Nyasa bila kuomba ridhaa, huku...
  3. Influenza

    Arusha: Makonda akutana na Mwamposa na kufanyiwa maombi

    Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa ofisini kwake, jijini Arusha. Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa hilo wamempongeza Makonda kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya...
  4. Influenza

    Tofauti kati ya Smart TV na Android TV | Differences between Smart TV and Android TV

    Roku TV, Android TV, Smart TV, AI TV, Google TV, Mini LED TV, QLED TV, na kadhalika ni baadhi ya maneno ya masoko yanayotumiwa na wazalishaji wa TV hivi sasa. Kusema ukweli, ni ngumu kutofautisha kati yao ikiwa wewe si mtaalamu katika kuhusu televisheni. Android TV na Smart TV ni sawa sana hadi...
  5. Influenza

    Baada ya 'Royal Tour', Serikali sasa yaja na filamu nyingine iitwayo 'Amazing Tanzania'

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa Bungeni leo wakati akiwasilisha Hotuba ya kuhusu Makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi yake kwa mwaka 2024/25 amebainisha kuwa Serikali kutokana na mafanikio ya programu ya The Royal Tour, Serikali imetengeneza filamu nyingine yenye hadhi ya kimataifa ya...
  6. Influenza

    Zifahamu kazi za Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi inayozinduliwa na Rais Samia

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni rasmj katika hafla ya Uzinduzi wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi utakaofanyika Kesho katika ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam Kwa mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya mwaka 2022 kazi ya Tume hiyo ni pamoja na;
  7. Influenza

    Naibu Waziri Michezo, Mwana FA adai Uwanja wa Arusha utachukua watu 30K kwa sababu Kwa Mkapa unaochukua watu 60K kwenye mkoa wa watu wengi haujazwi

    Hata kama ushabiki upo chini sio kweli kwamba wataingia watu wa Arusha peke yake (ni kweli sio kwa mechi zote), ila ametoa sababu ambayo kwa kweli sio sababu. Iweje tunafanya vitu bila kuwaza mbele?
  8. Influenza

    Naibu Waziri Michezo, Mwana FA adai Uwanja wa Arusha utachukua watu 30K kwa sababu Kwa Mkapa unaochukua watu 60K kwenye mkoa wa watu wengi haujazwi

    Umeangalia mechi ya Taifa Stars dhidi ya Morocco? Uwanja ulikuwaje? Na hiyo ni ya mwaka jana tu mwishoni
  9. Influenza

    Naibu Waziri Michezo, Mwana FA adai Uwanja wa Arusha utachukua watu 30K kwa sababu Kwa Mkapa unaochukua watu 60K kwenye mkoa wa watu wengi haujazwi

    Kwa sasa ni Simba na Yanga. Vipi kwa baadaye? Acha baadaye, vipi kwa michezo ya Kimataifa kwa Klabu na Taifa? Huoni leo ukisema Taifa Stars inacheza na timu fulani Arusha faida tutazopata?
  10. Influenza

    Naibu Waziri Michezo, Mwana FA adai Uwanja wa Arusha utachukua watu 30K kwa sababu Kwa Mkapa unaochukua watu 60K kwenye mkoa wa watu wengi haujazwi

    Mambo mengi sana yangeweza kufanyika hapo. Hii ni kama wamejiwekea njia ya ulaji wa baadaye, utakuja kusikia baada ya miaka mitano wanafanya ukarabati mkubwa wa kuongeza uwanja
  11. Influenza

    Naibu Waziri Michezo, Mwana FA adai Uwanja wa Arusha utachukua watu 30K kwa sababu Kwa Mkapa unaochukua watu 60K kwenye mkoa wa watu wengi haujazwi

    Hii Wizara tumepigwa na kitu kizito. Nilidhani kwa kuwa Mwana FA ni mtu wa michezo atakuwa mtu safi pale ila nimegundua ameshaingia kwenye na sasa anawaza kama waliokuwepo tu
  12. Influenza

    Naibu Waziri Michezo, Mwana FA adai Uwanja wa Arusha utachukua watu 30K kwa sababu Kwa Mkapa unaochukua watu 60K kwenye mkoa wa watu wengi haujazwi

    Ni kweli kabisa hapa Naibu Waziri amejibu kisiasa. Watu wanaweza hata kutoka mikoa na nchi nyingine kuja. Mashabiki wa Yanga walisafiri kutoka hapa kwenda Rwanda kuangalia mechi yao dhidi ya Al-Merrikh SC
  13. Influenza

    Naibu Waziri Michezo, Mwana FA adai Uwanja wa Arusha utachukua watu 30K kwa sababu Kwa Mkapa unaochukua watu 60K kwenye mkoa wa watu wengi haujazwi

    Naibu Waziri wa Saana, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amedai sababu moja wapo ya kujenga Uwanja wa Michezo unaochukua watu 30,000 mkoani Arusha ni kuwa kwa wastani katika mechi watu hawataujaza uwanja huo ukizingatia kuwa Uwanja wa ‘Kwa Mkapa’ unaochukua watu 60,000 ukiwa katika...
  14. Influenza

    Kama unatumia Apps hizi kwenye kifaa chako cha Android, ziondoe haraka. Ni hatari! | Xamalicious, a new dangerous Android 'copycat app'

    Wakati watumiaji wa Android walipoambiwa kuchungza vifaa vyao kwa programu (Apllications) zenye hatari kubwa ya kuwa na Wadudu (Malware) wa "SpyLoan" wasio salama, tishio jipya lilijitokeza kwa jina la "Xamalicious," mlango wa nyuma uligundulika hivi karibuni katika programu kadhaa kwenye Google...
Back
Top Bottom