Recent content by Influenza

  1. Influenza

    TANZIA Eric Dane, nyota wa “Grey’s Anatomy” na “Euphoria”, afariki dunia mwaka mmoja baada ya kutangaza kugundulika na ugonjwa wa ALS

    Eric Dane, mwigizaji mwenye sura ya kuvutia na haiba aliyewasha moto katika tamthilia ya “Grey’s Anatomy” wakati tamthilia hiyo ilipokuwa kwenye kilele cha umaarufu, amefariki dunia, kwa mujibu wa msemaji wake. Alikuwa na umri wa miaka 53. “Tukiwa na huzuni kubwa, tunawashirikisha kwamba Eric...
  2. Influenza

    Baada ya kufungua Ofisi, Ubalozi wa Somalia sasa kuzindua makazi mapya ya Balozi

    Ubalozi wa Somalia nchini Tanzania unatarajiwa kuzindua rasmi makazi mapya ya Balozi yaliyojengwa hivi karibuni. Hatua hii ni sehemu muhimu ya mkakati unaoendelea wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Somalia wa kuboresha na kuimarisha mali zake za kidiplomasia pamoja na kuinua hadhi ya mwonekano na...
  3. Influenza

    BRELA yadaiwa kudukuliwa, takriban rekodi Milioni 10.2 za Wafanyabiashara huenda zikaathirika au kuvuja

    Kwa mujibu wa VECERT, kampuni inayojishughulisha na Cyber Threat Intelligence (CTI) na usalama wa mtandao, ikibobea katika utafiti wa kina wa wahalifu wa mtandao na intelijensia, imeeleza kuwa BRELA imedukuliwa (hacked) jana. VECERT imetaja kuwa mhalifu wa mtandao anayejulikana kama...
  4. Influenza

    Bobi Wine: I manage to escape from Police, currently I am not home

    Through his X (Twitter) account, the Presidential Candidate from Oppostion, Robert Kyagulanyi Ssentamu assured his followers that he manage to escape the Police after information circulating that he was taken from his home yesterday and his whereabout was unknown. He said: Last night was very...
  5. Influenza

    Museveni: Serikali imejenga miundombinu ya Intaneti, kuizima ni kama kufunga barabara kwa muda. Upinzani ni wezi wa kura ila umaarufu wetu unawashinda

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amefafanua msimamo wake katika uchaguzi wa mwaka huu, ambapo anatafuta kuongeza muda wake wa uongozi kwa miaka mingine mitano, hivyo kuongeza zaidi ya miongo minne aliyokaa madarakani. Mwaka 2005, Bunge la Uganda lilipitisha marekebisho tata ya Katiba yaliyoondoa...
  6. Influenza

    Kufuatia Polisi kuwapiga Raia huko Nandi Hill, Mamalaka Huru ya Kusimamia Polisi yaanza Uchunguzi

    Mamlaka Huru ya Usimamizi wa Polisi (IPOA) imeanza uchunguzi baada ya video ya CCTV ya dakika nane, inayoonyesha polisi wakiwashambulia vijana katika ukumbi wa pool table wa Nandi Hills, kusambaa mitandaoni na kuzua hasira ya umma. Video hiyo, inayoonekana kurekodiwa saa 5:50 usiku wa tarehe 10...
  7. Influenza

    Polisi wa Tanzania waanza kuvunja nyumba za Wakimbizi katika Kambi za Nduta na Nyarugusu ikidaiwa ni 'kurudisha wakimbizi kwao kwa hiari'

    Zaidi ya nyumba 3,000 katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu mkoani zimevunjwa, zikiacha mamia ya familia za Wakimbizi wa Burundi bila makazi. Wakimbizi wanalaumu operesheni hii, inayotajwa kuwa ya “kurudishwa kwa hiari,” kama hatua ya kulazimisha na wanaomba Umoja wa Mataifa kuingilia kati...
  8. Influenza

    Kwa hili la SGR, waliokuwa Waziri wa Fedha, Waziri wa Ujenzi, na Mkurugenzi wa TRC wawajibishwe!

    Mkuu, Serikali ni ya Wananchi kwa niaba ya Wananchi….wa kuwawajibisha hawa watu si viongozi wenzao maana kama nilivyosema tuna mifumo ya ajabu na ya ovyo sana. Sasa sisi wananchi, yaani mimi na wewe ndio pekee tunaweza wawajibisha kwa kutumia nguvu ya umma
  9. Influenza

    Kwa hili la SGR, waliokuwa Waziri wa Fedha, Waziri wa Ujenzi, na Mkurugenzi wa TRC wawajibishwe!

    Serikali inatumia maneno ya ajabu sana kudanganya watu…hawaoni tu miaka imebadilika?
  10. Influenza

    Kwa hili la SGR, waliokuwa Waziri wa Fedha, Waziri wa Ujenzi, na Mkurugenzi wa TRC wawajibishwe!

    Hiyo nguzo imepinda kabisa yaani….inaonekana iliwekwa juu kuu kama gia ya trekta za Kubota
  11. Influenza

    Kwa hili la SGR, waliokuwa Waziri wa Fedha, Waziri wa Ujenzi, na Mkurugenzi wa TRC wawajibishwe!

    Nchi yetu inaonekana kukosa mifumo thabiti ya uwajibikaji, jambo linalosababisha watu wachache kuwa na mamlaka makubwa kupita kiasi bila kuwajibishwa ipasavyo. Mwisho wa siku, athari zake huangukia kwa wananchi. Safari za SGR zinasimamishwa, halafu Serikali inatoka na kauli kuwa ni hatua ya...
  12. Influenza

    Ndugu zetu wa Arusha: Mmeletewa Arnold Schwarzenegger kama mlivyoahidiwa na Makonda kwenye kampeni?

    Kwa hiyo shida ni kuandamana? Si mlisema hali ni shwari na Watalii wanamiminika?
  13. Influenza

    Ndugu zetu wa Arusha: Mmeletewa Arnold Schwarzenegger kama mlivyoahidiwa na Makonda kwenye kampeni?

    Paul Makonda ambaye kwa sasa ni Naibu Waziri wa Michezo nchini na Mbunge wa Arusha Mjini alitoa ahadi ambayo kwa kweli ilikuwa ni ya ajabu sana. Septemba 19, 2025 alipotembelea soko la Samunge na kuzungumza na wafanyabiashara aliahidi kuwa katika kusherehesha shamrashamra za mkesha wa mwaka...
  14. Influenza

    Baada ya kutoka AFCON; Timu ya Gabon yasimamishwa, benchi la ufundi lavunjwa, Nahodha wao na Aubameyang wakipigwa marufuku kuichezea timu hiyo

    Timu ya taifa ya Gabon imesimamishwa na serikali hadi itakapotangazwa vinginevyo baada ya kutolewa katika hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Mshambuliaji wa timu hiyo, Pierre-Emerick Aubameyang, pamoja na nahodha wao, Bruno Ecuele Manga, wamepigwa marufuku kuchaguliwa...
  15. Influenza

    Msemaji Mkuu wa Serikali: Wachina wataiendesha reli ya TAZARA kwa miaka 30 ili kupunguza mzigo kwa serikali

    Wewe Msigwa ama huna akili ana unatumiwa vibaya sana watu wasio na akili. Yaani unakaa na kukiri kabisa Serikali imeshindwa kuendesha Kampuni kwamba imekuwa mzigo? Ninyi yaani mmeshindwa kabisa na mawazo mbadala ndio haya kuipa Kampuni ya nje? Haya mmeipa hiyo, tueleze makubaliano yapo ndani ya...
Back
Top Bottom