uhalali unakujaje maana ninavyofahamu YONO wao wamepewa kazi ya kukamata na wanalipwa na Serikali, tafadhali mwenye uthibitisho wa nyaraka yoyote ya hii kampuni atupie hapa nione uhalali huo
Kabla ya kueleza tukio ningependa kuuliza hivi jukumu la YONO Auction Mart ni lipi maana dada yangu anahisi kuibiwa..!
Kimsingi siku chache zilizopita dada yangu alikamatwa na gari kwa kosa la kutokuwa na road lisence baada ya muda wake kuisha. Yono walikamata gari na kulipeleka kwenye ofisi zao...
Maoni yangu kuhusu mifuko ya hifadhi ya jamii inatakiwa kutoa mikopo kwa wanachama wake kwa riba nafuu ili kuweza kujikimu na halu ya maisha ya sasa ambayo yana mahitaji mengi ukizingatia mabadiliko yaliyokuja na serikali ya awamu ya tano ambayo ni kubana matumiz, hivyo kuwaacha watumishi hasa...
Mimi ni mjasiriamali ambae nina Incubator ambayo kwa wastani inafyatua vifaranga vya kuku elf 12,600 kwa siku 21, mashine hii inauwezo pia wa kutotoa mayai ya bata mzinga. Nahitaji kujua ni wapi naweza pata mayai ya bata mzinga walau 500?maana nataka kutotoa ili niweze kufuga mimi mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.