Kabla ya kueleza tukio ningependa kuuliza hivi jukumu la YONO Auction Mart ni lipi maana dada yangu anahisi kuibiwa..!
Kimsingi siku chache zilizopita dada yangu alikamatwa na gari kwa kosa la kutokuwa na road lisence baada ya muda wake kuisha. Yono walikamata gari na kulipeleka kwenye ofisi zao maeneno ya TEMESA.
Ikabidi dada yangu aende TRA kulipia road lisence na kwenda kwenye ofisi za Yono kwa lengo la kuchukua gari lake baada ya kulipia hiyo road lisence, ajabu ni kwamba YONo HAWAKUMPA GARI BADALA YAKE WAKAMWELEZA ANATAKIWA KULIPIA SH50,000 ikiwa ni malipo ya kukamata gari na 56,200 ya kulaza gari kwa siku mbili (2). ikabidi dada yangu awaulize swali kwani kosa si tayari kishalishughulikia kwa kulipia road lisence TRA? lakini wakasisistiza kuwa hizo gharama lazima zilipwe, hakika hakupewa gari mpaka pale alipolipa sh. 106,200 ndo wakampa gari. Je malipo haya jamani ni halali? kwani sheria ya trafic inasemaje? kwa nyongeza risiti ya malipo hayo anayo. naombeni msaada niweze kumshauri maana anataka aende TRA na kwenye mamlaka zingine kutafuta haki haki ingawa ni pesa ndogo.!!!!!karibuni kwa michango waungwana.
Kimsingi siku chache zilizopita dada yangu alikamatwa na gari kwa kosa la kutokuwa na road lisence baada ya muda wake kuisha. Yono walikamata gari na kulipeleka kwenye ofisi zao maeneno ya TEMESA.
Ikabidi dada yangu aende TRA kulipia road lisence na kwenda kwenye ofisi za Yono kwa lengo la kuchukua gari lake baada ya kulipia hiyo road lisence, ajabu ni kwamba YONo HAWAKUMPA GARI BADALA YAKE WAKAMWELEZA ANATAKIWA KULIPIA SH50,000 ikiwa ni malipo ya kukamata gari na 56,200 ya kulaza gari kwa siku mbili (2). ikabidi dada yangu awaulize swali kwani kosa si tayari kishalishughulikia kwa kulipia road lisence TRA? lakini wakasisistiza kuwa hizo gharama lazima zilipwe, hakika hakupewa gari mpaka pale alipolipa sh. 106,200 ndo wakampa gari. Je malipo haya jamani ni halali? kwani sheria ya trafic inasemaje? kwa nyongeza risiti ya malipo hayo anayo. naombeni msaada niweze kumshauri maana anataka aende TRA na kwenye mamlaka zingine kutafuta haki haki ingawa ni pesa ndogo.!!!!!karibuni kwa michango waungwana.