MTU kakalia kama wewe sio mfuatiliaji wa mambo muhimu, ya nchi nk, unaongea hivyo sababu huo mtihani tayar ni past paper, huo mtihani Hamna anayetoka, wale walio kwenye 40 watapandishwa mpaka 50 na kuendelea, subiri majibu jion,
coca cola na pepsi ni makampuni makubwa na kila mtu anayafahamu hata mtoto wa miezi anazijua na bado wanaendelea kutoa matangazo kila kukicha,,,so we wenzio wakifanya matangazo inakuuma??
kama hupendi potezea tu wengine ndo starehe yetu hiyo kuangalia
wanaume wa aina hii huwa wananikera sana sijui tatizo lao ni nn??
mtu kaamua kukueleza ukweli wa maisha yake unaanza kuleta second guessing ya maamuz yako mwenyewe..
hivi kwa generation hii tuliyopo hujui ni wanawake wachache wanaoamua kumwambia mtu ukweli wa maisha yake?? kasoro namba ya MAEX...
huu ni utani sasa....yani mkeo kalala na ndugu yako na amempa mimba bado unauliza kuendelea kuishi naye??
hamna mtu hapo mpe TALAKA TU HUYO,,huwa ninaamini kama kaamua kulala hata na mdogo wako manake sio mara yake ya kwanza hiyo hata huko nyuma kwa mmoja wa maex alishalala na mmoja wa ndugu...
huwez kuwa timamu,,,,geuza shilingi ww ndo unafanya hivyo vitu?? mwisho wa siku si unakuja kulalamika humu umechukua majukumu ya mzazi....sisi wanaume bana kazi kweli kweli...ukipendwa kosa usipopendwa kosa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.