Recent content by industriousman

  1. industriousman

    Kufeli shule sio kufeli maisha

    Umeelewa mkuu nilichosema? Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. industriousman

    Kufeli shule sio kufeli maisha

    Ukikutana na mwanafunzi mwenye ulemavu wa akili unaweza kumshangaza Mungu na kumchekesha shetani. Uwezo wa kupambania masomo hana, fikra zake na stori zake ni namna ya kumvua kufuli demu mkali anaewalaza macho pale darasani.Ratiba za vigodoro, kamari na namna anavyomchukia mwalimu mnoko pale...
  3. industriousman

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Huko unakoelekea utawapoteza wenzako km hukijui kitabu cha ufunuo bora ukar kimya tafuta reference zingine mpe Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  4. industriousman

    Poor Intelligence system inavyotesa Marais

    jibu tamu sana hili wanaojifanya wanajua siku zote huwa kimya wanasubiri mwingine aseme ndio waanze kuleta ujuaji. Hawa ndio wale hata shuleni walikuwa wanasubiri wenzao wafeli ndio waanze kuwananga na kujifanya walikuwa wanajua sababu zilizowafanya wafeli.
  5. industriousman

    Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

    Katikati ya 2017 nilimjua kupitia gazeti la KIU ila nowdays yuko MWANANCHI.kule KIU sijajua maana kipindi nipo skuli nililipata hilo gazeti kwa urahisi ila nowdays mpk niingie town. Huyu bwana ni ANAJUA sana sijui kwa nn media hazimchukui yaani
  6. industriousman

    Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

    Ukiambiwa ulete ushahidi wa himi ukisemacho utaleta? Je hao waliomshawishi atoke ni akina nani? wataje
  7. industriousman

    Inawezekana haya ni makosa makubwa ya Bongo Movie

    Umenifungua macho mimi mwenyewe najitahidi kufanya uchunguzi juu ya ubovu wa bongo movies wakati huo huo nikiandaa script za filamu.Bado naendelea kutafuta sababu za kukosa mvuyo lwa bongo movies
  8. industriousman

    Hakuna movie kali ya kivita kuzidi Saving Private Ryan

    Platoon ya michael didkorf yule jamaa wa american ninja au PLATOON ipi?
  9. industriousman

    Msanii Wizkid ameweka rekodi ya kuwa msanii Mwafrika wa kwanza kufikisha zaidi ya Streams Milioni 300 katika Audiomack

    Mkuu wakukusikia watu wa wasafi fans jiandae matusi.Diamond ninarmpenda wa kuanzia 2014 kurudi mpk anatoka kimuziki huyu wa sasa PAKA MATE ITELEZE KAMA NYOKA PANGONI hapana
  10. industriousman

    squid game series inaonyesha maisha ya asili ya tamaa ya pesa

    Sript writer wa INNOCENT DEFENDANT peponi moja kwa moja
  11. industriousman

    squid game series inaonyesha maisha ya asili ya tamaa ya pesa

    Hapo kwenye QUEEN OF SOUTH sasa[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
  12. industriousman

    Watoto wa Fatima: Mwanamke aliyewatokea ni nani na alisema nini?

    Una hakuka kuwa Sina Imani? Kwa hiyo miminkuomba vifungu vya biblia Ina maana sina Imani au? Fafanua Sina Imani kivipi?
  13. industriousman

    Watoto wa Fatima: Mwanamke aliyewatokea ni nani na alisema nini?

    Nipe basi hivyo vifungu vya biblia nifanye conclusion
  14. industriousman

    Watoto wa Fatima: Mwanamke aliyewatokea ni nani na alisema nini?

    Bila kusali riazali maajabu hayatokei siyo?
  15. industriousman

    Watoto wa Fatima: Mwanamke aliyewatokea ni nani na alisema nini?

    Utupe uthibitisho sio unatoa maelezo kwa kufananisha matukio ya sanduku lililobeba sheria na habari za Bikira maria kubeba mimba
Back
Top Bottom