Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.
Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo...
Hao tu waliopewa kuilinda katiba wanaikanyaga Kama hawaioni, NAHISI hili la kutaka kuongezewa muda linatoka huko juu Seema so wananchi tunataarifiwa tu maana si kwa hii mihemko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.