Recent content by indundidotcom

  1. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania AJIRA MPYA NA CONNECTION (MTU NA MTU WAKE)

    Basi hakupaswa kuhubiri na kukemea connection bali angekaa tu kimya
  2. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania AJIRA MPYA NA CONNECTION (MTU NA MTU WAKE)

    Wakati namsikiliza waziri Simbachawene akizungumzia ajira mara nasikia anatoa taarifa ya kumuunganishia ndugu yake kupata ajira. Ni juzi ametukataza waombaji tuditafute connection!!!! Ni juzi amedai ajira zinatoka kwa uwezo!!! Ni juzi wasailiwa wametoka na kudai kuwa usaili unajanjajanja...
  3. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimepita mtihani wa Kiswahili maandalizi kwa ajili ya Oral

    Nimemaliza chuo 2015 nimepambana nikaambulia 60 Nimepambana Nahisi sitaomba tena ajira, nimechoka sasa
  4. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Je interview (usaili) kada ya ualimu umeahirishwa?

    Juzi kati ilikuwa inapita barua mtandaoni ya kutaarifu kuahirisshwa kwa usaili wa kada ya ualimu. Sa mtandaoni kwenye status ajira portal haipo haionekani taarifa hiyo. Ukweli ukoje waungwana?
  5. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Walimu jiandaeni vyema na Aptitude Test

    Nilikuwa nimeandikiwa Emproyer mkoa fulani mpaka juzi, Leo natazama pamebadirika MDA & LGAs Hapo vipi ndo kutemwa !!!
  6. indundidotcom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe ungefanyaje?

    Nashukuru kwa mawazo [emoji120]
  7. indundidotcom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe ungefanyaje?

    Noted Mkuu Mind opened [emoji120]
  8. indundidotcom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe ungefanyaje?

    Uvimilivu maana sikuwa na ushahid wa kutosha huko nyuma Mkuu
  9. indundidotcom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe ungefanyaje?

    Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua. Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo...
  10. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Serikali itusaidie kuboresha Barabara ya Kaliua hadi Kahama

    Exactly hii barabara ikiwekewa lami itafungua milango mingi ya maendeleo
  11. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Hii siyo sawa kabisa, inakuwaje wezi wa kuku wanatupwa jela, wakati wezi wa mali ya umma wanaachwa huru?

    Inategemea na umeiba wapi. Ukiibia umma walaaaa hufungwi Ukiibia mtu aaaah mapeeeema!
  12. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Wahitimu wa chuo mwaka 2015 tuokosa ajira tukutane hapa

    Ahsante sana
  13. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Wahitimu wa chuo mwaka 2015 tuokosa ajira tukutane hapa

    Maishha ndo haya haya tusimlaumu mama kajitahidi Sana maana najua shida haijaanzia kwake
  14. indundidotcom

    JamiiForums Tanzania Wahitimu wa chuo mwaka 2015 tuokosa ajira tukutane hapa

    Wahitimu wa chuo mwaka 2015 tuokosa ajira tukutane hapa japo tutiane moyo maana mategemeo yetu yalikuwa makubwa saaaana Karibuni
Back
Top Bottom