Recent content by Indian

  1. Indian

    Huyu demu kaniroga nini, maana nina wiki mbili dusheee haisimamii kabisaaa.

    Wanawake wengne ukiwa nao ni kama umejitafutia lana ukiwakosea kidogo tu mtihani
  2. Indian

    VIDEO: Islamil Jussa, Abubakar Bakar wamjibu Prof. Kabudi kuhusu mamlaka za kisheria kwa JMT na Zanzibar

    Wabara kwenye maslahi uprofesa wanautia mfukoni. Jusa yuko vizuri sana wala anapingana kwa hoja na wala sio vitisho vya kutoleana ukali na macho.
  3. Indian

    Serikali Kujenga Flyover Saba katika jiji la Dar es Salaam

    H Hakuna cha flyover ni madaraja wanadanganywa wabongo
  4. Indian

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Dah mm namshukuru Mungu sijawahi kuingia kwenye mitego hi ya tamaa za kipumbavu, waliwahi kunipigia simu wa maqury na kilimo matapeli wote nabaki kuwacheka. Jiepushe na matamaa ya maisha hakuna shotcut.
  5. Indian

    TANZIA: Mwanasiasa maarufu, Richard Tambwe Hizza afariki Dunia. CHADEMA yatuma salamu za rambirambi

    إنالي الله وين إلايهي راجيون
  6. Indian

    Matepeli wa kupangisha nyumba wa kupatana wamekamatwa

    Unaogopa nini kuziweka namba zao
  7. Indian

    Mmmh! dada zangu sio kwa mapenzi haya! huyu mwenzenu mpaka nimemkimbia

    Watu mnafurahisha kumbe uyu dada ana tabia mbaya
  8. Indian

    Mrejesho: Baada ya kuujaribu uchawi wa "Chuma Ulete"

    Wanawake wengi wanapigwa miti na waganga huyu nae kama ni she hakusalimika
  9. Indian

    Ajali Kinondoni Mkwajuni; Kijana 1 amegongwa na gari na kufa hapohapo

    إنالي الله وين إلايهي راجيون
  10. Indian

    Prof. Kabudi: Rais wa Jamhuri ana mamlaka ya kuwaagiza mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi (Zanzibar)

    Wazanzibar wachache wameridhika Zanzibar kufanywa mkoa kwakua wao wako kwenye vyeo muda huu. Wakitoka wanajilaumu kama kina Shamsi Nahodha. Hapa kuna tatizo la uroho wa madaraka tu.
  11. Indian

    Mitandao mingine ya simu kama imerogwa

    Halotel ukijiunga kwa mwezi 10000 kwenye app yao wanakwambia wamekupa mb10200 ukichek kwenye salio kuna mb 6000
  12. Indian

    Ushauri: Viongozi wa dini wasio na maadili mema wasiruhusiwe kupeperusha bendera ya taifa!

    Huyu Shehn ni wa kukamatwa kama mwenzake Titto akapimwe akili
  13. Indian

    CCM, TRA inawahujumu na itawaangusha

    U Umasikini unakusumbua
Back
Top Bottom