Dah mm namshukuru Mungu sijawahi kuingia kwenye mitego hi ya tamaa za kipumbavu, waliwahi kunipigia simu wa maqury na kilimo matapeli wote nabaki kuwacheka. Jiepushe na matamaa ya maisha hakuna shotcut.
Wazanzibar wachache wameridhika Zanzibar kufanywa mkoa kwakua wao wako kwenye vyeo muda huu. Wakitoka wanajilaumu kama kina Shamsi Nahodha. Hapa kuna tatizo la uroho wa madaraka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.