Recent content by Incommensurable

  1. I

    JamiiForums Tanzania Tanzania Online Content Regulations: Ni kosa kisheria simu, computer kutokuwa na password. Kuendesha Blog lazima ulipie!

    We Lack great thinkers and decision makers in the government. Even God allowed lucifer to live though he always criticize Him. This is all about the government avoiding to be criticized and warned when it goes astray. But time will tell when the laws and acts will mean nothing and be broken...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Tanzania Online Content Regulations: Ni kosa kisheria simu, computer kutokuwa na password. Kuendesha Blog lazima ulipie!

    Sidhani kama hiyo ndo namna sahihi ya kudhibiti masuala haya. Kwa njia inamaanisha naweza kulipia blog yangu nikawa huru kutusi???? La hasha. Sema tu serikali hii haipendi kusemwa wala kukanywa au kukemewa. Ukishazuia online content kwa ku impose gharama za namna hiyo ndo maendeleo yanakuja?
  3. I

    JamiiForums Tanzania Tanzania Online Content Regulations: Ni kosa kisheria simu, computer kutokuwa na password. Kuendesha Blog lazima ulipie!

    Sidhani kama hiyo ndo namna sahihi ya kudhibiti masuala haya. Kwa njia inamaanisha naweza kulipia blog yangu nikawa huru kutusi???? La hasha. Sema tu serikali hii haipendi kusemwa wala kukanywa au kukemewa. Ukishazuia online content kwa ku impose gharama za namna hiyo ndo maendeleo yanakuja?
  4. I

    JamiiForums Tanzania Serikali yatishia kuzifuta Taasisi za dini zinazokiuka misingi ya kuanzishwa kwake

    Huwezi kutenga siasa na dini maana wana dini ndo hao hao wanasiasa. Pia kazi kubwa ya dini ni kuwafundisha na kuwakemea watu wote kuacha kutenda dhambi pamoja na kuvunja sheria za jamii husika. Na ndo maana kunapotokea majanga jamii za dini zinaombwa kuomba na kuwaombea viongozi wa siasa sasa...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: TAMISEMI inaniudhi sana; kwanini inapora Madaraka ya Halmashauri?

    Nadhani suala hapa siyo Tamisemi kuwapangia vituo vya kazi bali inatakiwa wapangiwe kulingana na uhitaji wa kituo husika. Tamisemi kama wanapanga wao basi wapange kulingana na taarifa iliyotoka kwenye halmashauri husika juu ya uhitaji wa kila kituo cha kazi. Endapo upangaji huo umefata uhitaji...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Huu Sio Uchaguzi, ni Kipimo cha Upumbavu

    Kwani walioitwa wapumbavu na malofa hamuwajui. Hamjui aliokuwa anawalenga? Na Maana Ya mpumbavu ni nini?
  7. I

    JamiiForums Tanzania Huu Sio Uchaguzi, ni Kipimo cha Upumbavu

    So nice!!!
  8. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

    Ko wewe unapongeza swala la kujiuza??? Ubaya wa alichokiona na kukisema nini. Kumbuka amesema alikuwa haamini sasa ameamini. Kama juu ya 'mijimama' anajua na anaamini kama wapo wanaojiuza atawaongeleaje kwa maneno sawa na aliyoyatumia?
  9. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

    Ko wewe unapongeza swala la kujiuza??? Ubaya wa alichokiona na kukisema nini. Kumbuka amesema alikuwa haamini sasa ameamini. Kama juu ya 'mijimama' anajua na anaamini kama wapo wanaojiuza atawaongeleaje kwa maneno sawa na aliyoyatumia?
  10. I

    JamiiForums Tanzania Kubadili matokeo IV 2012: Prof. Mukandala aivimbia serikali!

    Umedadavua vizuri kuhusu tatizo hasa ni nini mpaka matokeo kuwa mabaya. 'Big Up' kwa hilo. Ni kweli tunahitaji wasomi waliofunzika vizuri ili wainusuru Tanzania yetu na dunia kwa ujumla. Ila kumbuka kuwa huwezi kupima uwezo wa mchoraji kama hujampa vifaa kamili vya kuchorea. Kwa maelezo yako...
  11. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

    Siyo vizuri mtu anapotoa lile liloko kichwani mwake kulikandia bila sababu za kimsingi. Kwani kujiuza ni sifa nzuri kwa dar? Mbona jamaa anaonekana mgeni wa jiji kisa yeye kupata uhakika wa juu ya kujiuza kwa wanafunzi wa IFM? Maana yake ni kwamba yeye alikuwa anasikia tu ila alikuwa hajapata...
Back
Top Bottom