saudari
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 2,655
- 2,783
Mkuu vp!!!!!!! Mbona umepotea au mimi? hapo ujumbe umetosha
Ni kweli kwa siku kadhaa nimekuwa sionekani jamvini ila kwa sasa i'm back again.
Mkuu vp!!!!!!! Mbona umepotea au mimi? hapo ujumbe umetosha
chezea mujini wewe lazima uwe mujanja unafikiri watoto wa st joseph wanaweza hiyo mambo kuwa uyaone mkuu..
nimeandika kitu ambacho nimeshangazwa nacho, hivyo kama kuna watu wameshanganzwa nacho labda walikuwa hawajui, pia wao watashangaa...ila kama wewe ulikuwa unalijua hili kabla, au pengine na wewe ulishajiuza sasa nimekutonesha kidonda au nimekusema kwenye ukweli, nisamehe....
Ko wewe unapongeza swala la kujiuza??? Ubaya wa alichokiona na kukisema nini. Kumbuka amesema alikuwa haamini sasa ameamini. Kama juu ya 'mijimama' anajua na anaamini kama wapo wanaojiuza atawaongeleaje kwa maneno sawa na aliyoyatumia?unakimbilia madenti wakati umeiacha mijimama yako huko ofisini wanaojiuza pia.
maisha kila kukicha ni bora ya Jana..ukahaba above average kwa vijana wetu ni matokeo ya umaskini wa kutisha na tofauti kubwa ya kiuchumi na hali ya maisha kati ya matabaka. tusishangae matokeo, tujishangae kuendelea kulala.
Mashuleni, vyuoni, maofisini, mitaani na majumbani hali ni hiyo hiyo.
unakimbilia madenti wakati umeiacha mijimama yako huko ofisini wanaojiuza pia.
Nilikuwa siamini hadi niliposhuhudia laivu. ikifika mida kuanzia saa moja usiku, aisee wanajiuza laivu, na ni wasichana wa ifm, wala sio kwamba wanawake wa mtaani wamekuja pale wakijifanya kama wanafunzi wa ifm ili wapate soko la hasha, ni wanafunzi wa ifm, aisee, wanajiuza laivi. nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.
Huu umbea sasa......kwanza hayakuhuuuu we jali maisha yako.Nilikuwa siamini hadi niliposhuhudia laivu. ikifika mida kuanzia saa moja usiku, aisee wanajiuza laivu, na ni wasichana wa ifm, wala sio kwamba wanawake wa mtaani wamekuja pale wakijifanya kama wanafunzi wa ifm ili wapate soko la hasha, ni wanafunzi wa ifm, aisee, wanajiuza laivi. nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.