Kwa kagera mwananchi kuwa na matumizi ya chini ya elfuhamsini kwa mwezi ni sawa kabisa kwasababu hawana cha kununua kila hitaji la chakula lipo hapo shambani mwaka mzima, kuanzia ndizi, maharage n.k. hivyo halmashauri itaona mkoa hauna makusanyo kwasababu wahaya wanajitosheleza kwa chakula bila...
Kutokana na uzito wa ofisi ya CAG naona speaker kabadili maneno, anasema bunge tatizo lake sio na ofisi ya CAG bali ni Asad personal, kwa maana hiyo report ya ofisi ya CAG itajadiliwa bungeni kama kawaida ila Asad asikanyage mjengoni.
Hapo naona spika anacheza na kiswahili tu. Ngoma ngumu...
Habari
Naomba maelekezo Kuhusu kupata bima ya nhif kupitia ppf, Nahitaji Sana bima, ukilipa 60000 Hiyo ni Ada ya uanachama kwa muda gani? Ni baada ya muda gani kadi yako ya nhif inakuwa tayari ukishalipa 76000?
Fahamu kwamba ukiwa na uwanja bora na Wa kisasa bila kuwa na Ndege kuna biashara kubwa sana na isiyo na pressure itafanyika. Ndege kubwa zitashuka hapo ,zitalipa kodi na utalii plus biashara vya kimataifa vitafanyika , tofauti na bomberdia inayobeba ndoo za samaki kutoka mwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.