Hamna kitu kama hicho this is a Democratic country let people do what they think for their right ,mapolisi wa walinde tu ,hamna cha fujo wala nini, pole pole
<br />
<br />
SASA WEWE MWITA MBONA UNAONGEA KAMA K.. USIWE MJINGA KWA MATATIZO YA WENGI,MIMI UNANIKERA ILE MBAYA USIWE ***** JUKWAA ZIMA LINAPINGANA NA WEWE JINSI AMBAVYO HAMNA MARKET MMEBAKI JINA LAZIMA WATANZANIA WAWATOE TU NI KHERI TUKAWA KAMA LIBYA BUT NOT TO TOLERATE TORTURING LIKE THIS...
@ ZAWADI NGODA ,Na ndiyo maana hili eneo limekuwepo kufumbuwa watu macho ambao hawaoni kama wewe,Hemu niambie tangu 2005 mpaka sasa niambie mafanikio ambayo yapo unayaona zaidi ya kujulikana kama waombaji wakubwa wa misaada na wakati tumekalia utajiri ambao unaliwa kijanja janja na wenye uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.