Recent content by Inaguresheni

  1. I

    Shehena kubwa ya mafuta na sukari yakamatwa Arusha

    Hiyo shehena yenyewe ni gunia mia mbili tu. Haijazi scania ni tandam moja tu hiyo.
  2. I

    Madai haya ya Zitto kama ni ya kweli, basi hii ni moja ya sababu kwanini sisi ni masikini na tutaendelea kuwa hivyo

    Naona na wewe umeamua kuchangia tu uonekane. Issue iko hivi. Mawese yote yako kigoma yakikamuliwa mafuta na alizeti yote ikikamuliwa mafuta ni 30% tu ya mafuta yanayoitajika Tanzania. 70% inayobaki inatoka nje.
  3. I

    Madai haya ya Zitto kama ni ya kweli, basi hii ni moja ya sababu kwanini sisi ni masikini na tutaendelea kuwa hivyo

    Zitto ana uwezo wa kuufanya research? Mbegu zilizopo ni za asili na zina viwango duni. Research Institution za Tanzania ndio zilitakiwa ziandae Mbegu. Wizara ya kilimo iwajibike. Alafu ndio tumzodoe Zitto kwa kutolima hiyo robo eka. Mwalimu wangu wa uchumi A level aliwahi kutuambia Wafaransa...
  4. I

    DC Temeke aibiwa gari nyumbani kwake; ashangaa wezi kupata ujasiri wa kumwibia Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama

    Kauli yake inaonyesha Viongozi wa awamu hii ni walevi wa madaraka. Yaani wanaamini kiongozi haguswi? Kwa sababu hawako na watu, hata watu hawako nao. Hii ni dalili mbaya kwa Taifa.
  5. I

    Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  6. I

    Mbunge anayekwamisha Tanzania ya viwanda ni Waziri Charles Mwijage

    Kauli mbiu na sera ni vitu viwili tofauti sana. Tanzania ya viwanda ni Kauli mbiu sio sera. Hadi sasa hakuna documentation zozote zinazoonyesha tunaanzia hapa hadi hapa. Wala huwezi kumsimamisha mbunge yeyote, wala waziri wala mkuu wa mkoa akakueleza mpango kazi wa kufikia huko kwenye viwanda...
  7. I

    Kwa haya mambo, Waziri wa Viwanda na Biashara ni bora ajiuzulu

    Swali nchi zote zinazozalisha matari zinapokea mashamba ya mpira? Je zinazozalisha magari na machine mbalimbali zina machimbo ya chuma, Bati au madini ya metal? Umekomenti kwenye viwango duni.
  8. I

    Rais Magufuli: Chuo chochote kitakachojaribu kugoma sitasita kuwafukuza, tena kwa muda usiojulikana!

    Tuanchane na China, huko ni full dictatorship. Kwa hiyo unasema Japan hakuna mawazo kama haya.? Kwa hiyo hujawahi kusikia wajapani wakiandamana.? Hebu google uone. Uandishi wako ni wanavyuo kiwango cha ndio mzee. Nikipata mfanyakazi wa style yako nitakuwa Bata sanaaaa!!!
  9. I

    Rais Magufuli: Chuo chochote kitakachojaribu kugoma sitasita kuwafukuza, tena kwa muda usiojulikana!

    Mkuu kama una hako ka footage ka mama, share tafadhali.
  10. I

    Kigwangalla: Dege kubwa la watalii zaidi ya 300 latua uwanja wa KIA, utalii Tanzania wazidi kukua

    Na kwa kuongezea hiyo clip imewekwa YouTube tangu mwaka 2009. Sijui hii ya kigwa wanayoiongelea baada ya miaka tisa inamaanisha nini?
  11. I

    Kigwangalla: Dege kubwa la watalii zaidi ya 300 latua uwanja wa KIA, utalii Tanzania wazidi kukua

    Idadi Inafikia 1,000,000 sio 2,000 ingawa bado ni ndogo ulilinganisha na mataifa mengine yaliyoamua kuufanya utalii serious.
  12. I

    Kigwangalla: Dege kubwa la watalii zaidi ya 300 latua uwanja wa KIA, utalii Tanzania wazidi kukua

    Kwa Arusha kuna kampuni zinapokea ma-group ya watalii mpaka Mia kwa mkupuo mmoja na mara nyingi huwa ni wanavyuo. kwa hiyo watalii 400 si jambo la ajabu sana wanaoshuka kia ni zaidi ya 400 kwa siku. Hatuna haja ya kuwa negative Ila nikitu cha kawaida sio cha kushangaza sana. Watalii wanaoshukia...
Back
Top Bottom