Rais Magufuli: Chuo chochote kitakachojaribu kugoma sitasita kuwafukuza, tena kwa muda usiojulikana!

Tatizo lako kama langu
Mimi huwa najihadhari mapema, kwenye taarifa ya habari lazima waanze na 'Rais zzz leo amezindua...' hapo najua tayari jamaa wanataka kuniharibia siku, kama mtoto yupo karibu na remote namwambia aondoe hiyo channel haraka sana.

Na kwa sasa watoto wanalijua hilo, wakisikia tu 'Rais zzz' wanatoa wenyewe bila mimi kuwaambia, amani ya moyo wangu ni ya muhimu sana kwa afya na kujihakikishia maisha marefu.
 
JPM hana hulka wala haiba za kuwa raising. Ameathirika sana na malezi aliyoyapata utotoni. Pia bila shaka familia yake nyumbani haina upendo kwa baba. Muangalie mama Janet akiwa nae kwenye hadhara dhahiri anaonekana analazimisha furaha na tabasamu.

Vyama vya sisa vijue Kuna mengi katika vetting ya candidate wao zaidi ya kuwa makada watiifu, waangalie na nyumba zao pia.
 
Hawezienda nje wanakoongea kiinglish maana anajua for sure ataaibika kupita maelezo. Anasingizia kujua kingereza sio usomi kujihami. Ati yeye ni wa hapahapa, Kiswahili chenyewe shida. Ndio maana anakimbilia kisukuma alichokulia. Umemsikia akitamka herufi "r"? Hasira zake inaashiria upungufu mkubwa sana wa misamiati ya kuwasiliana na wengine. Mama yake alishauliza "mtamweza kweli kuendana naye akiwa raisi? Ninavyomfahamu huyu mwanangu hawezekani" lisema alipokuwa anahojiwa na vyombo vya habari nyumbani kwake Chato. Kwa kuwa furaha iliwazidi watanzania kumpata chaguo la JK na Mkapa na chama chao kinyume na Lowasa, hata kuelewa maana ya yule mama haikuwa issue. Kila mtu ana udhaifu wake, kupanga ni kuchagua hebu tuendelee mbele na kipindi hiki tulichojitakia wenyewe. Dunia inatushangaa sasa tulivyo na speed ya kuwapiku madikteta duniani. Endeleeni kukiombea KITI alichokikalia hata kama mna kigugumizi kumwombea yeye binafsi. Siku moja Mungu atajibu maombi yenu. Mungu ibariki Tanzania.
Mkuu kama una hako ka footage ka mama, share tafadhali.
 
Civil liberties sasa ziko mahala pabaya. Kugoma huletwa na sababu za msingi. Ingekuwa vema akasema atahakikisha mambo ya msingi yanashughulikiwa ili migomo yenye sababu za kipuuzi isitokee. Inashangaza wanaolaumiwa au kugomewa sasa wanataka hata kusema walaumiwe au wagomewe vipi!!
 
Ukitoa tatizo la UBINAFSI walilo nalo watanzania wengi, tatizo lingine kubwa kwa nchi yetu hasa kwa vijana wa leo ni tatizo la MALEZI kwa kijana aliyelelewa kwenye mazingira ya nidhamu na adabu acha kuandika..hata tu kuwaza kuandika ujinga kama huu hawezi, kwa hali ilivyo kwenye jamii yetu..vijana kutokuwa na nidhamu, adabu na maadili mema, nadhani awamu zijazo serikali ifikirie kuwa na wizara maalum inayoshughulikia mambo ya familia, kuwepo na miongozo, kanuni na sheria za jinsi ya kulea watoto wa taifa hili..tukiendelea kama ilivyo sasa taifa hili litaja kuwa taifa la wahalifu..dunia ya leo inahitaji kuwa na nidhamu na adabu kiwango cha juu sana ili ufanikiwe, iwe familia, jamii hata taifa kwa ujumla, leo China imefika hapo ilipo si kwa lelemama..Japan ni nchi ya mfano duniani kwa maendeleo iliyo nayo si kwa bahati..huyu anasema anatishwa , lakini hasemi maneno ambayo Rais aliwausia vijana wale kama watoto wake..amekariri kutishwa, lakini Rais ni Kiongozi,Mzazi, Mshauri na Mlezi..yote anayoyasema yanatokana na moja ya hadhi nilizotaja, wakati mwingine anasema kama Kiongozi tena Amiri Jeshi Mkuu..lakini wakati mwingine anasema kama Mzazi..mtu yeyote unapoamua kumuusia mtoto haijalishi lazima awe amekosea, nadhani tahadhari ni bora zaidi kuliko kurekebisha..
Tuanchane na China, huko ni full dictatorship. Kwa hiyo unasema Japan hakuna mawazo kama haya.? Kwa hiyo hujawahi kusikia wajapani wakiandamana.? Hebu google uone.

Uandishi wako ni wanavyuo kiwango cha ndio mzee. Nikipata mfanyakazi wa style yako nitakuwa Bata sanaaaa!!!
 
Mimi Afadhali ya uzi humu ndani.
Nikigongananae kwenye Tv siwezi kula kabisa,yaani atakama nilibakisha masaa mawili namaliza siku ananiharibia kabisa siku
mimi simsikilizi hata wale wanaomshabikia sasa washajua ni SAA MBOVU ......................








Daudi Balali naona mzimu wake unaongea kweli huko twitter
 
Naomba mnisaidie kumuuliza mheshimiwa Rais, hivi ni sababu gani iliyomfanya ahamishwe kutoka Seminary hadi kuhamia Lake Secondary?

Vv


juzi alisema alikuwa anahofu kwenda kufanya field kwenye shule za wasichana kwasababu anaweza kuharibu maadili msome DAUDI BALALI halafu unga dots
 
Rais alidanganywa SUA hawazalishi mbegu ya mapapai. Atume watu wake wakadhibitishe hili. kuna kipindi tulifunga safari kutoka katavi kwenda SUA kununua mbegu ya mapapai tkaelekenzwa twende kwenye maduka ya pembejeo. Mbegu nyigi tulizozikuta madukani ni za ASIA


Mmmh wewe unamfahamu yule BRAZA K wa FUTUHI ?
 
Bila kunji SUA isingekuwa nzuri kama ilivyosasa nawakumbusheni tu kuwa isingekuwa freedom square mambo SUA yangekuwa hovyo sana.
"A injury to one is an injury to all",
Freedom ukishafika pale polisi hawakufanyi chochote
 
Unanikumbusha ule msemo wa kuuza ng'ombe ile kupeleka ng'ombe nyingine shule
 
Back
Top Bottom