Umezungumzia swala la ubunifu na upambanaji wa mtu binafsi lakini topic inazungumzia soko la ajira ambalo liko governed na nchi na linategemea taaluma rasmi ambayo inasmamiwa na nchi vilevile, elewa topic kisha wasilisha maoni yako
Shida ni kwamba mitaala yetu ya elimu haipo standard kuendana na soko la ajira la kimataifa, yani degree ya tanzania ni aghalabu sana ukaajiriwa nchi za wenzetu huko
Hebu nipeni mawazo yenu wakuu; hii trend ya upatikanaji wa ajira kwa upande wenu mnaionaje? Ukiangalia miaka kumi iliyopita, idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo na idadi ya wataalamu huru waliokuwepo (wahitimu). Ukiangalia idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo hivi sasa na idadi ya wataalamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.