Recent content by impongo

  1. impongo

    JamiiForums Tanzania Katikati ya crisis ya mafuta ambayo hatujui tunatokaje tunateketeza mamilioni ya Lita za mafuta kukimbiza mwenge

    Kutegemea CCM italeta nafuu kwenye maisha ya wanyonge ni sawa na kitafuta bikra kwenye wodi ya wazazi.
  2. impongo

    JamiiForums Tanzania Nalilia Taifa langu nazililia idara za Usalama wa Taifa, hakuna anayeona kesho ya Tanzania

    Yaani nitembelee VX ya kuhongwa nijisumbue na Mambo ya watanzania ambao watu wanatekwa na kuuliwa wao wajasukuma kete bila wasiwasi
  3. impongo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jibu konki kutoka kwa waziri Dkt. Dorothy Gwajima kwa jamaa aliyeliwa hela ya nauli na demu wake

    Huyu mama mnamtesa 😂😂
  4. impongo

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Comment ya Kitila Mkumbo JF Kuhusu Chanel ten 2009 kabla hajalamba Asali

    Pesa ni sabuni ya roho
  5. impongo

    JamiiForums Tanzania Katika kuadhimisha Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika; Tuambiane ukweli, kwanini huwa haturipoti tunapoona matukio ya Ruswa?

    Nchi nzima tunagawa Baiskeri na Pikipiki ili maamuma watuchague tena, sisi ni viongozi wakuu hapa unategemea Rushwa Africa itaisha?
  6. impongo

    JamiiForums Tanzania Zawadi kubwa kwa Msabato mwenye ushahidi wa Biblia kuonyesha kuwa wanafunzi wa Yesu waliendelea Kuitunza sabato hata baada ya Kufufuka kwake

    Hata sabato ya pili, watu wengi, karibu mji wote, wakakusanyika walisikie neno la Mungu. Matendo ya Mitume 13:44 Hata siku ya sabato tukatoka nje ya lango, tukaenda kando ya mto, ambapo tukadhani ya kuwa pana mahali pa kusali; tukaketi, tukasema na wanawake waliokutana pale. Matendo ya Mitume...
  7. impongo

    JamiiForums Tanzania Kama chanzo cha uhai kinaweza kubadilika basi uhai wenyewe hauna msingi thabiti hadi sasa. Je, ni upi msingi wa uhai?

    Hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwako kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu Hapa kuna contradiction
  8. impongo

    JamiiForums Tanzania Vladimir Vetrov, jasusi aliyejitakia kifo chake mwenyewe

    Bandiko zuri
  9. impongo

    JamiiForums Tanzania Hali Tete Kucheleweshwa au kutokulipwa kwa wakandarasi TANROADS na RUWASA limekuwa tatizo linaloadhiri Wakandarasi na Uchumi wa nchi

    Umesahau TARURA na miradi ya SUPPLY KWENYE TAASISI ZA UMMA HALMASHAURI, TFS, TBA N.K NCHI Hii kufanya kazi miradi ya Serikali ni zaidi ya mateso
  10. impongo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanaume wa kunioa

    Hii bahati yangu ngoja nizame pm
  11. impongo

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa Comoro wapo serious kweli ndio nini hiki kumdhalilisha Rais wetu?

    Hao ni migambo wa chama tawala kama akina Lucas Mwashambwa
  12. impongo

    JamiiForums Tanzania Martin Maranja Masese: Hivi ndivyo tutakavyozuia chaguzi zote zijazo kuanzia na huu wa 2025

    Safi sana Madereka amepatwa na nini?
Back
Top Bottom