Recent content by impongo

  1. impongo

    Nalilia Taifa langu nazililia idara za Usalama wa Taifa, hakuna anayeona kesho ya Tanzania

    Yaani nitembelee VX ya kuhongwa nijisumbue na Mambo ya watanzania ambao watu wanatekwa na kuuliwa wao wajasukuma kete bila wasiwasi
  2. impongo

    Katika kuadhimisha Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika; Tuambiane ukweli, kwanini huwa haturipoti tunapoona matukio ya Ruswa?

    Nchi nzima tunagawa Baiskeri na Pikipiki ili maamuma watuchague tena, sisi ni viongozi wakuu hapa unategemea Rushwa Africa itaisha?
  3. impongo

    Zawadi kubwa kwa Msabato mwenye ushahidi wa Biblia kuonyesha kuwa wanafunzi wa Yesu waliendelea Kuitunza sabato hata baada ya Kufufuka kwake

    Hata sabato ya pili, watu wengi, karibu mji wote, wakakusanyika walisikie neno la Mungu. Matendo ya Mitume 13:44 Hata siku ya sabato tukatoka nje ya lango, tukaenda kando ya mto, ambapo tukadhani ya kuwa pana mahali pa kusali; tukaketi, tukasema na wanawake waliokutana pale. Matendo ya Mitume...
  4. impongo

    Kama chanzo cha uhai kinaweza kubadilika basi uhai wenyewe hauna msingi thabiti hadi sasa. Je, ni upi msingi wa uhai?

    Hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwako kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu Hapa kuna contradiction
  5. impongo

    Hali Tete Kucheleweshwa au kutokulipwa kwa wakandarasi TANROADS na RUWASA limekuwa tatizo linaloadhiri Wakandarasi na Uchumi wa nchi

    Umesahau TARURA na miradi ya SUPPLY KWENYE TAASISI ZA UMMA HALMASHAURI, TFS, TBA N.K NCHI Hii kufanya kazi miradi ya Serikali ni zaidi ya mateso
  6. impongo

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Hii bahati yangu ngoja nizame pm
  7. impongo

    Wanajeshi wa Comoro wapo serious kweli ndio nini hiki kumdhalilisha Rais wetu?

    Hao ni migambo wa chama tawala kama akina Lucas Mwashambwa
Back
Top Bottom