Recent content by impongo

  1. impongo

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Asante kuna la kujifunza na kujua wapi pa kuanzia kwa vijana wanao tafuta kujiajiri
  2. impongo

    Tumetoka kusali jumuiya kwa Baba ambae ni Mkatoliki na Mama ni msabato. Kiukweli kipengele cha kuangalia dini kwenye mahusiano ni cha muhimu sana

    Kiukweli yale masanamu kuingizwa ndani kwako kama siyo mkatoliki yataka moyo na ujitoe akili kwelikweli.
  3. impongo

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

    Ukweli [emoji1651][emoji1651][emoji1651][emoji255][emoji255][emoji255]
  4. impongo

    CHADEMA waachwe Waandamane lakini wapewe Ulinzi wa kutosha, Watarahisisha sana Miswada ya Sheria za Uchaguzi Kupita mapema!

    Siasa zisitufanye kuwa watu wa hovyo tuvumiliane maisha yanataka ustaahimilivu.
  5. impongo

    Kaliba zinazoongoza kwa wizi (kuwaibia wananchi)

    Sasa kwa manabii na mitume si wanaenda wenyewe Afrika ujinga umezidi, mijitu haitaki kufanya kazi inataka miujiza hakuna mafanikio bila jasho la damu haiwezekani. Heri ya mwaka mpya Mshana Jr.
  6. impongo

    Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA

    Ccm itatawala milele vijana wa Tanzania ni kama wamelala usingizi wa mauti. Kizazi cha chuma cha 1995 na 2000 kilishapita saasa taifa halina vijana lina mzigo wa misumari. CCM HOYEEEEE
  7. impongo

    Maonyesho ya Kijeshi siku za sherehe ni mambo yamepitwa na wakati na ni hatarishi

    Viongozi wamejawa na ulimbukeni, lakini wao wanadhani wanatisha raia
  8. impongo

    NECTA imedanganya umma kidato Cha pili matokeo ni mabaya mno

    Acha ujinga soma uelewe acha uchawa
Back
Top Bottom