Sasa kwa manabii na mitume si wanaenda wenyewe Afrika ujinga umezidi, mijitu haitaki kufanya kazi inataka miujiza hakuna mafanikio bila jasho la damu haiwezekani.
Heri ya mwaka mpya Mshana Jr.
Ccm itatawala milele vijana wa Tanzania ni kama wamelala usingizi wa mauti.
Kizazi cha chuma cha 1995 na 2000 kilishapita saasa taifa halina vijana lina mzigo wa misumari.
CCM HOYEEEEE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.