Mkuu redio zinaushindani mkubwa na unaovutia sana kwawanaouelewa.
Gerald Hando hawez kurud cmg kipindi hiki. Kifo cha Ruge nifaida kubwa kwa majajizo nahis tutegemee wengi kuondoka cmg
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara na Comoro inachangamoto sana, hawa jamaa hawaongei kiswahili ni kifaransa,
pili hakuna usafir wakueleweka hasa usafir wa mizgo. Mahitaji yao mengi wanayapata kupitia zanzibar ambao wanatumia majahazi kupeleka vitu huko, napia wadau wanalalamika kua bahari yao inachangamoto ya mvua zenye...
Sikuwahi kufanya mazoezi yakunyanyua vyuma siku zanyuma, nilkua nafanya mazoezi ya viungo tu nyumbani. Naweza kupiga push zakawida 105. Mwez wapili niliamua kuingia gym baada ya kama week nikaanza kuskia maumivu bega lakulia. Nnaweek ya pili sasa nayasikia, sio makali sana ila napata hofu kma...
Matapeli wako kila mahali, juzi nilisikia tangazo kua sheikh sharifu majini atakua na mkutano ataombea watu na mgeni rasmi atakua sheikh alhaji musa(shekh mkuu wa dar)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuitoa pangani gunia(sio kroba) inaingia nazi 250 unaweza isafirisha kwa elfu 10 kutumia gari za tashrifu inayotoka pangani. Kma zikiwa nyingi wanaweza kukupunguzia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.