Recent content by Immanuela

  1. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Kinondoni walivyodhalilishwa Mei Mosi mbele ya JK

    msamehe huyo hajui, Muhimbili kuna course za 2.5 points, ambayo hata kwa walimu haifai. issue sio kuwa walifeli, issue ni mshahara mdogo, hapo angeeleweka, tatizo kuna watu wanaongea kwa ushabiki, hasa wanaopenda kusikiliza story za vijiweni bila kujua ukweli.
  2. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Kinondoni walivyodhalilishwa Mei Mosi mbele ya JK

    Ndo nchi ilivo, imagine Doctor analala night, analipwa elfu kumi,, is not fair, wafanyakazi wengi wa serikali na hata sector zingine binafsi wananyanyaswa mno, ndo maana watu wanaona bora apigane afanye biashara kuliko kuonewa kiasi hicho..Hii nchi ina tatizo kubwa sana.
  3. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Kinondoni walivyodhalilishwa Mei Mosi mbele ya JK

    Mara nyingi watu wenye dharau kama wewe wanakuwaga hawana hata kazi, mtu mwenye akili timamu na anayejua maisha huwa hana dharau zisizo na msingi. Ni ushauri tu ndugu, watu wanaojitangaza kuwa ni wa maana huwa kuna kitu wanaficha nyuma yao, wanataka watu wawaone wa maana. People like you have...
  4. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kupanga, Msasani au Mikocheni

    Sjiu mgawanyiko wa mikocheni, na nategemea dalali ambaye yuko serious hatompeleka mteja maeneo yaliyojaa maji. haina haja ya kutaja kuwa sitaki sehemu zenye mafuriko, hilo ni jambo liko wazi hakuna mtu anapenda kupanga kwenye mafuriko..vinginevyo ningeandika kuwa sifa nyingine pawe na mafuriko.
  5. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kupanga, Msasani au Mikocheni

    Wadau natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Msasani au Mikocheni, kiwe na sifa zifuatazo; -Kikubwa... -Self contained(jiko, choo na bafu ndani). -Kiwe na umeme, na maji yawe yameunganishwa ndani. - kiwe karibu na barabarani(angalu dakika kumi tu toka barabarani). - Iwe ndani ya fence, na sehemu...
  6. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya uelekeo wa barabara katikati ya jiji la dar es salaam kuanzia siku ya tarehe 28/04/20

    Nitaenda Posta after a month, hapa nimemaliza kusoma nikachanganyikiwa....waweke Red Cross karibu, ajali njenje hapa
  7. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Massage za Wadada Saluni: Zinatutega na tunashawishika

    hahahhaha...hii nimeipenda..serious kuna wanawake tabia zao zitafanya tujifunze kunyoa...hahhah
  8. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Massage za Wadada Saluni: Zinatutega na tunashawishika

    hawa wadada wa saloon Malaya mno, nimewahi kumpeleka boyfriend wangu kunyoa nywele saloon moja ipo karibu na American Chips Kindondoni, alipomaliza kunyolewa wakamuita mdada wa kumuosha nywele, pale ndo niliona balaa, mdada akaanza kumpapasa, mi niliwekwa separate room, ila nikashtuka mbona...
  9. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Pvc and aluminium windows

    Badhi ya kazi zetu za PVC na Aluminium...
  10. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Pvc and aluminium windows

    ukipenda bidhaa zetu na huduma zetu ukatuletea wateja wengine....you get your comission too
  11. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Pvc and aluminium windows

    inategemea kama ni PVC au Aluminium, but bei zinarange from 100,000-350,000 kwa mita..hizo ghatama zote ni pamoja na usafiri na kufungiwa...ukinihitaji kwa maelezo zaidi naweza kukufata ulipo na kukuonyesha samples pamoja na ushauri na maelezo zaidi..karibu sana
  12. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Pvc and aluminium windows

    mlango wa chooni standard zipo aina 2. inategemea na aina unayohitaji..ina range from 380,000-600,000....ukiwa serious piga simu yangu nitakufata na samples zetu popote ulipo nikuonyeshe....bei zinapungua kutokana na idadi ya milango pia..maongezi yapo ukiwa tayari
  13. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

    nakubaliana nawe asilimia mia moja
  14. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

    ukiwa muoga wa maisha daima utaogopa kununua gari au kupanga nyumba nzuri ukidai unaweka hela..maisha hayana formula maalum kama vile hesabu..kuna watu wameanza kununua magari na sasa hivi ni matajiri, wengine walianza kuinvest au kujenga ili kukwepa kodi, sasa hivi ni maskini bado na wengine...
  15. Immanuela

    JamiiForums Tanzania Pvc and aluminium windows

    Standard doors and kitchen cabinets also available at a cheap price..
Back
Top Bottom