Immanuela
Member
- Mar 18, 2014
- 22
- 5
Wadau natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Msasani au Mikocheni, kiwe na sifa zifuatazo;
-Kikubwa...
-Self contained(jiko, choo na bafu ndani).
-Kiwe na umeme, na maji yawe yameunganishwa ndani.
- kiwe karibu na barabarani(angalu dakika kumi tu toka barabarani).
- Iwe ndani ya fence, na sehemu iliyo na parking ya gari ndani ya fence.
- Bajeti yangu 100,000 - 200,000.
- Malipo miezi 6.
- Kama ni Msasani, kwa kutokea Namanga isiwe zaidi ya eneo la bank ya NMB pale general tyre.
-Kama ni Mikocheni, isiwe zaidi ya round about ya Kawe.
kwa ambae anafahamu please nipe taarifa kwa namba 0755 108 345.
Tahadhari: dalali usiniite ili kupata hela ya usumbufu, kama chumba hakina sifa zote nilizotaja sitalipa hela yoyote.
-Kikubwa...
-Self contained(jiko, choo na bafu ndani).
-Kiwe na umeme, na maji yawe yameunganishwa ndani.
- kiwe karibu na barabarani(angalu dakika kumi tu toka barabarani).
- Iwe ndani ya fence, na sehemu iliyo na parking ya gari ndani ya fence.
- Bajeti yangu 100,000 - 200,000.
- Malipo miezi 6.
- Kama ni Msasani, kwa kutokea Namanga isiwe zaidi ya eneo la bank ya NMB pale general tyre.
-Kama ni Mikocheni, isiwe zaidi ya round about ya Kawe.
kwa ambae anafahamu please nipe taarifa kwa namba 0755 108 345.
Tahadhari: dalali usiniite ili kupata hela ya usumbufu, kama chumba hakina sifa zote nilizotaja sitalipa hela yoyote.