Recent content by Imma Saro

  1. I

    Uchumi wetu upo kwenye hatua ipi?Recovering,Recession,Peak ama Depression?

    Uchumi wetu upo kwenye hatua ipi?Recovering,Recession,Peak ama Depression? Leo humu mtandaoni nimeona matangazo ya kampuni moja kubwa ya simenti na benki moja zikitangaza hasara huku jana niliambiwa kuwa kuna benki moja imetangaza kufunga baadhi ya matawi yake ikilitangaza tawi la Wilaya ya...
  2. I

    CHADEMA Siha washinda kesi ya UKUTA, waibwaga serikali mahakamani

    HATIMAYE MAHAKAMA YAITUPILIA MBALI KESI YA UKUTA DHIDI YA CHADEMA SIHA ILIYOKUWA IKIWAKABILI KATIBU NA MADIWANI WA CHADEMA Kesi hiyo ilikuwa ikiwakabili katibu wa CHADEMA Emanuel Nabora, madiwani wa chama hicho wawili Jackson Rabo diwani wa kata ya Ndumet na diwani wa viti maalum Bi. Witness...
  3. I

    Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

    Ni kweli Kabisa CWT Mkoa wasilinyamazie ili. Pia hata hawa UVCCM wasilinyamazie kabisa Mbunge anafanya ukatili wa kiwango kikubwa hivi, Ni aibu kubwa Sana tena mwanamke ametenda unyama huu, Catherine tafakari mapema kukiri kosa sio dhambi bali ni ushuja.watakao kisifu ni wachumia tumbo tu na...
  4. I

    Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

    UVCCM hili ni Jibu hebu Kama kweli nyie nividume mtimueni huyu Mama Catherine,Anawazalilisha Sana
  5. I

    Dr. Mollel amshukia tena Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

    Umenena kaka Mwenyekuelewa amekuelewa Makamu WA Rais anakiri ukosefu wa Dawa Ummy Waziri anasema hakuna Sitaki kusema ni Mizuka government
  6. I

    Dr. Mollel amshukia tena Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

    Wo shi Nikusaidie Jambo moja katika uingizaji wa madawa kutoka Nchi jirani Kenya,Kama ulimwelewa Dr Mollel Katika taarifa yake hakumaanisha serekali yetu ifanye biashara na Serekali ya Watu wa Kenya,wala hapingi uingizaji wa Madawa kutoka India,Ila alichosisitiza ni Ubora na gharama za Dawa...
  7. I

    Dr. Mollel amshukia tena Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

    Nibora mkafahamu uhalisi Dawa hakuna Tuache kumtete huyu Mwanasheria Ummy,
  8. I

    Dr. Mollel amshukia tena Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

    Ndugu zangu watanzania siku ya Alhamis 06/10/2016 nilizungumza na vyombo vya Habari juu ya Ukosefu wa Dawa,Vifa tiba,MSD,Watumishi ambao wamemaliza miaka miwili iliyopita hadi sasa hawana ajira na Teknolojia katika Afya Nilishauri serikali isinijibu kisiasa Yaani waache propaganda Kwenye...
  9. I

    Waziri kivuli wa Afya Godwin Mollel aishukia Serikali juu ya ukosefu wa madawa Hospitalini

    Dawa kenya zipo ila ubadhirifu tu haiwezekani tukawa na masiara na sekta ya Afya
  10. I

    Waziri kivuli wa Afya Godwin Mollel aishukia Serikali juu ya ukosefu wa madawa Hospitalini

    TAARIFA YA WAZIRI KIVULI WA AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO DR GODWIN MOLLEL AKIWASILISHA HALI HALISI YA DAWA, VIFAA TIBA NA VITENDANISHI KATIKA TAIFA. Ndugu wanahabari Kupata huduma ya afya ni haki ya msingi ya kila mwananchi, na ndio jiwe kuu msingi katika kutekeleza haki ya...
  11. I

    Baraza Kuu la Uongozi la Taifa CUF, kwa kutumia uwezo wake limemfukuza uanachama Profesa Lipumba

    Nilipongeze Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la CUF kwa maamuzi yao juu ya Propesa na washirika wake,Naamini watakuwa wameelewa Pro alikuwa Mkt ila hakuijuwa Katiba,Niwape Pole wanacuf Kwa kuamini walikuwa na Mkt kumbe walikuwa na Mchumia tumbo
  12. I

    Dr. Mashinji: Ni wakati wa kusonga mbele. Vitisho hivi vina mwisho, tusiogope leo wala kesho

    Kwa sasa watashangilia ila One day watafahamu Tulikuwa tunamaanisha nini
  13. I

    Dr. Mashinji: Ni wakati wa kusonga mbele. Vitisho hivi vina mwisho, tusiogope leo wala kesho

    Vinafanyika ni hatari kwa ukuwaji wa demokrasia zaidi hata haki za binadamu zinaminywa, Msishangilie yanayotokea kwa sasa,
  14. I

    StarTimes kuonyesha ligi ya Uingereza bure

    Kituo cha Televisheni nchini, TV1 kimezindua kampeni yake inayokwenda kwa jina la Toroka Uje ambayo inawaletea watazamaji wake matangazo ya bure ya mechi zote za Ligi Kuu ya Uingereza maarufu kama English Premier League zitakazoanza kutimua vumbi kuanzia Agosti 13 mwaka huu. Akizungumzia...
  15. I

    TV1 Kurusha Live ligi kuu ya Uingereza(EPL)

    Kituo cha Televisheni nchini, TV1 kimezindua kampeni yake inayokwenda kwa jina la Toroka Uje ambayo inawaletea watazamaji wake matangazo ya bure ya mechi zote za Ligi Kuu ya Uingereza maarufu kama English Premier League zitakazoanza kutimua vumbi kuanzia Agosti 13 mwaka huu. Akizungumzia...
Back
Top Bottom