Alafu unakuta nyumba umehangaikaijenga kwa miaka kadhaa alafu inasepa kwa mda mfupi tu!!!!
Unaambiawa kutoka mia kwenda zero ni rahisi ni kufumba na kufumbua,taabu ipo kwenye kutoka zero kwenda mia.
Habari wana jamvi,niende moja kwa moja kwenye mada bila kuwa chosha.
kwa kuwa uandishi wangu sio mzuri ila najua mtanielewa.
kuna jirani yangu mmoja anaitwa mama Juma ambae yeye anakaka yake ambae yeye anafanya biashara kariakoo,sasa kaka akamwoba msaada kwa dada yake ambae ni mama Juma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.