Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
Ndiyo hiyo kwa Tanzania inakuwa ngumu kama hujafika shule, mbona zamani wazee walikutumia wanafua majembe, shoka lakini walienda wapi si wakaanza kuleta ya China kila mwaka mkulima unanunua? Watanzania ni wengi sana wabunifu lakini hiyo nafasi hakuna, Mimi mwenyewe kwetu alikuwepo kijana STD 7 alikuwa anaunganisha mazagazaga yake umeme kwa Bibi yake muda wote taa inawakaTunafanya makosa makubwa sana kudhani kusoma ni mpaka uende shule au ubunifu na akili ni mpaka uwe na cheti HAPANA ubunifu na akili / fikra ni watu wanaofikiri nje ya box na kutumia material katikati ya masikio yao kufanya vitu endelevu
Faraday mwenyewe hakusoma (ni self Taught)