Recent content by imbuli

  1. imbuli

    CGTN-Tanzania sets monthly tax revenue record in September

    Hongera sana serikali ya CCM Chini ya Dkt John Pombe Magufuli...kwa Kazi Nzur sana sana...ya kuongeza makusanyo ya kodi kwa masirahi ya TAIFA..
  2. imbuli

    Kamanda Kova: Kufuatia mahojiano na Dr. Slaa kesi mbili zimefunguliwa

    Tunahitaji kufahamu sana iweje leo iwe hivyo kiongozi mkubwa kutisha viongozi wenzako na wanasiasa wenzako....we kiboko Mangula.
  3. imbuli

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Ya Mwalimu Nyerere, Lowassa na hali ilivyo CCM Julius Kambarage Nyerere ni jina zito na lenye maana kubwa nchini. Uzito wake unatoka na kujitoa kwake dhidi harakati zake ambapo aliamua kuiacha kazi yake ya ualimu iliyokuwa ikimpatia mshahara na kuamua kujitosa kwenye siasa na kuanza harakati za...
  4. imbuli

    Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

    EL2015..maamuzi sahihi na magumu may5.
  5. imbuli

    Mchakato wa kura za maoni wa Katiba Pendekezwa

    MCHAKATO WA KURA ZA MAONI KATIBA MPYA KUTUMIKA KUHALALISHA KAMPENI CHAFU ZA KUMADI MEMBE NA KUCHAFUA WAGOMBEA WENGINE Kuelekea kura za maoni wizara ya katiba na sheria imekiomba chama cha mapinduzi kuisaidia serekali katika kutafuta namna ya kuhamasisha wananchi kuipigia kura Katiba mpya. John...
  6. imbuli

    Mchakato wa kura za maoni wa Katiba Pendekezwa

    MCHAKATO WA KURA ZA MAONI KATIBA MPYA KUTUMIKA KUHALALISHA KAMPENI CHAFU ZA KUMADI MEMBE NA KUCHAFUA WAGOMBEA WENGINE Kuelekea kura za maoni wizara ya katiba na sheria imekiomba chama cha mapinduzi kuisaidia serekali katika kutafuta namna ya kuhamasisha wananchi kuipigia kura Katiba mpya. John...
  7. imbuli

    Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

    Edward Lowassa ‘MwanaCCM Mtiifu’ Edward Ngoyai Lowassa, ni mmoja kati ya wanachama -wakongwe wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) nchini Tanzania. Jina lake linatajwa kuwa miongoni mwa watu wenye nafasi kubwa ya kuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania. Mengi yanazungumzwa, mengi yanasemwa juu ya sifa na...
  8. imbuli

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Hitaji la Taifa. Taifa linahitaji kiongozi wa nchi,kiongozi atakaye waunganisha watanzania nakuendeleza pale alipoishia Mh.wetu Jakaya, Nchi inahitaji mtu mmoja,mtu atakaye aminiwa akisema,kiongozi atakaye jua na anayejua mahitaji ya wakati ya nchi katika zama hizi za ushindani wa...
  9. imbuli

    Mgombea wa CCM ahamia rushwa ya vitabu

    MGOMBEA CCM AHAMIA RUSHWA YA VITABU; Kuelekea miezi ya uchaguzi mengi yameendelea kujitokeza na wenye kutamani kufika pale alipo JK wameendelea kutafuta mbinu mbalimbali za kuweza kushawishi wapiga kura wao. Asubuhi napita kusalimia katika ofisi za Umoja wa Vijana ambako ndiko ninako wajibika...
  10. imbuli

    Edward Lowassa aungwa mkono na Wamarekani (USA)

    Ikulu hiyo october 31/2015...semeni jingine tukifanya finish ya safari yetu ya matumaini...na leo barozi wa marekani kahesabiwa...
  11. imbuli

    Edward Lowassa afanya Propaganda kwenye media eti kashinda 100%

    Si kweli hivi kweli mnajielewa au we unaosema kafanya propaganda unajielewa au ushabiki wako kila mjumbe wa nec taifa tutampima katika wilaya yake wameshinda kwa kiwango gani.Mpaka sasa wilaya ya monduli inaongoza nchi nzima kwa kushinda ccm viti vyote mitaa,vijiji na vitongoji.Sasa we unaebisha...
  12. imbuli

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Lowassa
  13. imbuli

    Renatus Mkinga: Lowassa amenifuata na dola 5,200 na Rav4 mpya

    We Nani hadi Lowassa akufate na USD 5200. We unamhimu gani kwake....katika harakati zake za kwenda ikulu acheni unafiki jamani....
Back
Top Bottom