Maria ni mtoto,katika mambo ya misiba mara nyingi wenye sauti ni wazazi wa marehemu(kama wapo),watu waliozaliwa na marehemu tumb moja,watoto huwa ni kupewa tu taarifa tu juu ya mambo fulani fulani.
kwanza tu muelekeze aliye kutuma kuwa kero za barua na alizoelezwa kwa mdomo zimemshinda za digital ataziweza wapi?
Nimekaa mtaa wa hospital ya dcmc kwa takribani miaka mitatu,umbali wa km 5 toka mjini,mtaa wetu unatanki linalopeleka maji UDOM ila sisi maji hatuna.Na wote wanajua changamoto ya...
Kwani mpo dunia gani?Msamaha gani mnaotaka aombe wakati alikataa mara tatu kuomba msamaha?Kwani hamkumuona akikataa kuomba radhi? Huyu abebe hukumu ya mahakama kwa upendo na ukarimu mkubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.