Recent content by imam_ali

  1. I

    JamiiForums Tanzania Happy birthday shadeeya🥰

    Haswaa
  2. I

    JamiiForums Tanzania Happy birthday shadeeya🥰

    hongera kwa kukikaribia kifo🎂🎂🎂
  3. I

    JamiiForums Tanzania Sitasahau huyu mzee alivyopinda mdomo kwa kufuga jini

    Niamini mimi hizi mbanga za waislam kufuga majini zipo East Africa tu hsa Tz na Kenya ukienda Malaysia, Ulaya, Marekani hukuti hizi mbanga hata hapo west Africa tu huzikuti 😂😂😂. Real mental health is serious
  4. I

    JamiiForums Tanzania Nimeaiangalia "13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi". Ipi kwako ni muvi bora ya kivita?

    Tukadanganywa Gadafi had chemical weapons, murder of his pple, democracy banner, terrorist funder, soon Traore nae atakua Terrorist funder, democracy banner and has weapons of mass destruction manufacturing industries also a narcotic leader of Cartel gangs.
  5. I

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha halisi imetumika kutengeneza video isiyo halisi kwa Akili Unde

    AI Generated video, hamjanikamata bado
  6. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakristo wanaposali hawageukii au kuelekea Yerusalemu (Qibla) kama Mfalme Sulemani alivyofanya?

    Unaelekea popote 7bu hio ni dharura. Another question plz
  7. I

    JamiiForums Tanzania Kituu pekee cha kukikomboa kutoka palestina na pawe huru ni hamas, muslim brotherhood, IRGC na uislamu wa itikadi ya msimamo mkali.

    Hamas wamekuja 1980s, IRGC wamekuja 1979, Hezbollah 1980s, Houthi 1990s Kuna kitu hapo wala sio ulivyovitaja huo mgogoro wa kuundwa upo tangu 1947 ifanyike kama N Korea na South Korea basi
  8. I

    JamiiForums Tanzania Waislamu kuweni wavumilivu

    Hawa ndio vijana ambao Tundu Lissu na Polepole anawapigania? Daaaah
  9. I

    JamiiForums Tanzania Hii ndio JF ilipofikia 2025, wanaume kuambiwa wavae sketi.

    Huo ndio uhuru mnaoutaka wa kila mtu kuongea/kuandika anachotaka.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Magaidi wenye mlengo wa dini ya kiislamu wachinja wanavijiji 52 kule DRC

    Sisi tunajua ni kina nani hao hatuna wasiwasi tena.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa Iran atatandikwa tena bila huruma na Israel

    Yaani unamvizia mtu unampiga halafu unajisifia daaaah
  12. I

    JamiiForums Tanzania Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    Mkuu nasubiri ruhusa yako na mimi nijitokeze, witches of JF mmni kigagula wako😁
  13. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Historia Yangu yenye kujaa ukakasi na uhusiano wangu na Member huyu wa JF

    Leteni vikombe chai inapoa
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kwa mjazano huu wa ndugu, sahau kabisa kuitwa tajiri

    Simple solution nunua au kodisha shamba asubuhi ukienda kazini toa maagizo wakalime au kupalilia, fuga kuku wa mayai au nyama waanze kuwahudumia malipo mnaelewana akizingua kata mshahara, mbona watakimbia wenyewe tu😂😂
Back
Top Bottom