Recent content by imam_ali

  1. I

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa Neno ugaidi limeingia rasmi kusibitisha kisasi cha wanzanzibar na raisi samia.

    mmeona sasa ugaidi unavyotamkwa na kubambikizwa kwa watu? Hivyo hivyo US EU na washirika wake ndivyo hubambikia watu. One coin one side
  2. I

    JamiiForums Tanzania Bukina faso: Ibrahim Traore kuwarejesha nyumbani wanafunzi waliokwenda Saudia Arabia kujifunza Sharia za Kiislam

    sasa si nayeye angechagua wanafunzi 1000 wakasome engineering, technology na hizo mambo anazozitaka yeye pesa si ipo, anaumia nini sasa kwani gvt ndio inawfund hao sharia students?
  3. I

    JamiiForums Tanzania Ni kweli muhadhiri wa Udom aliyekamatwa kapewa kesi ya ugaidi?

    Unaamini hio end to end ? Hio no botion tu kudakwa kukopale pale
  4. I

    JamiiForums Tanzania Yawezekana mzozo wa Middle East ukawa mkubwa na kuanzisha WW3?

    nilichogundua hapa kun huyu bwana @echolimal yani ni mbumbumbu kweli kweli badala ajibu hoja analeta maswala ya udini, kashfa zisizo na ushahidi, lawama na kejeli. Hajui missile convention, inertia motion, FPVs, missile Interception, maneuver hata military strategy yoyote. Yeye achojibu ni...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Msichana aliyechoma bweni na kuua wenzake huko Kenya ( What could be her motive)?

    huyu wa kupiga kitanzi chap akakutane na wenzake huko madukani
  6. I

    JamiiForums Tanzania Happy birthday shadeeya🥰

    Haswaa
  7. I

    JamiiForums Tanzania Happy birthday shadeeya🥰

    hongera kwa kukikaribia kifo🎂🎂🎂
  8. I

    JamiiForums Tanzania Sitasahau huyu mzee alivyopinda mdomo kwa kufuga jini

    Niamini mimi hizi mbanga za waislam kufuga majini zipo East Africa tu hsa Tz na Kenya ukienda Malaysia, Ulaya, Marekani hukuti hizi mbanga hata hapo west Africa tu huzikuti 😂😂😂. Real mental health is serious
  9. I

    JamiiForums Tanzania Nimeaiangalia "13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi". Ipi kwako ni muvi bora ya kivita?

    Tukadanganywa Gadafi had chemical weapons, murder of his pple, democracy banner, terrorist funder, soon Traore nae atakua Terrorist funder, democracy banner and has weapons of mass destruction manufacturing industries also a narcotic leader of Cartel gangs.
  10. I

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha halisi imetumika kutengeneza video isiyo halisi kwa Akili Unde

    AI Generated video, hamjanikamata bado
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakristo wanaposali hawageukii au kuelekea Yerusalemu (Qibla) kama Mfalme Sulemani alivyofanya?

    Unaelekea popote 7bu hio ni dharura. Another question plz
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kituu pekee cha kukikomboa kutoka palestina na pawe huru ni hamas, muslim brotherhood, IRGC na uislamu wa itikadi ya msimamo mkali.

    Hamas wamekuja 1980s, IRGC wamekuja 1979, Hezbollah 1980s, Houthi 1990s Kuna kitu hapo wala sio ulivyovitaja huo mgogoro wa kuundwa upo tangu 1947 ifanyike kama N Korea na South Korea basi
  13. I

    JamiiForums Tanzania Waislamu kuweni wavumilivu

    Hawa ndio vijana ambao Tundu Lissu na Polepole anawapigania? Daaaah
  14. I

    JamiiForums Tanzania Hii ndio JF ilipofikia 2025, wanaume kuambiwa wavae sketi.

    Huo ndio uhuru mnaoutaka wa kila mtu kuongea/kuandika anachotaka.
  15. I

    JamiiForums Tanzania Magaidi wenye mlengo wa dini ya kiislamu wachinja wanavijiji 52 kule DRC

    Sisi tunajua ni kina nani hao hatuna wasiwasi tena.
Back
Top Bottom