Recent content by imam_ali

  1. I

    Sitasahau huyu mzee alivyopinda mdomo kwa kufuga jini

    Niamini mimi hizi mbanga za waislam kufuga majini zipo East Africa tu hsa Tz na Kenya ukienda Malaysia, Ulaya, Marekani hukuti hizi mbanga hata hapo west Africa tu huzikuti 😂😂😂. Real mental health is serious
  2. I

    Nimeaiangalia "13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi". Ipi kwako ni muvi bora ya kivita?

    Tukadanganywa Gadafi had chemical weapons, murder of his pple, democracy banner, terrorist funder, soon Traore nae atakua Terrorist funder, democracy banner and has weapons of mass destruction manufacturing industries also a narcotic leader of Cartel gangs.
  3. I

    KWELI Picha halisi imetumika kutengeneza video isiyo halisi kwa Akili Unde

    AI Generated video, hamjanikamata bado
  4. I

    Kituu pekee cha kukikomboa kutoka palestina na pawe huru ni hamas, muslim brotherhood, IRGC na uislamu wa itikadi ya msimamo mkali.

    Hamas wamekuja 1980s, IRGC wamekuja 1979, Hezbollah 1980s, Houthi 1990s Kuna kitu hapo wala sio ulivyovitaja huo mgogoro wa kuundwa upo tangu 1947 ifanyike kama N Korea na South Korea basi
  5. I

    Waislamu kuweni wavumilivu

    Hawa ndio vijana ambao Tundu Lissu na Polepole anawapigania? Daaaah
  6. I

    Hii ndio JF ilipofikia 2025, wanaume kuambiwa wavae sketi.

    Huo ndio uhuru mnaoutaka wa kila mtu kuongea/kuandika anachotaka.
  7. I

    Magaidi wenye mlengo wa dini ya kiislamu wachinja wanavijiji 52 kule DRC

    Sisi tunajua ni kina nani hao hatuna wasiwasi tena.
  8. I

    Kuna uwezekano mkubwa Iran atatandikwa tena bila huruma na Israel

    Yaani unamvizia mtu unampiga halafu unajisifia daaaah
  9. I

    Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    Mkuu nasubiri ruhusa yako na mimi nijitokeze, witches of JF mmni kigagula wako😁
  10. I

    Kwa mjazano huu wa ndugu, sahau kabisa kuitwa tajiri

    Simple solution nunua au kodisha shamba asubuhi ukienda kazini toa maagizo wakalime au kupalilia, fuga kuku wa mayai au nyama waanze kuwahudumia malipo mnaelewana akizingua kata mshahara, mbona watakimbia wenyewe tu😂😂
  11. I

    Nahisi mume wangu ana watoto wa nje ya ndoa

    Wa kiume kupata ukimwi ni vigumu sana yani vigumu mno hata takwimu zinasema, viva Jinsia ya KIUME 😅😅😂😂😂
  12. I

    Nahisi kuchanganyikiwa

    We Cocastic nshakuogopa sasa nmefatilia comments zako sitaki kuwampinzani nitkuunga mkono ppote utakapoenda nikiweza😁
Back
Top Bottom