ulijuaje kua hyo mada ilikua ikiendelea apa.....
Nilishaa wekwa kat hapa na kipyenga kilipulizwa kuashiria dakika arobain na tano za kwanza zishaa anza.....
Nimefurahije kuona thread!!!
Mabadiliko yafanywe na sisi wenyewe watanzani!!
Kwa kua mwishon hua kunakua na maoni au ushaur kuhusu kipind husika kama wakiona kila atoae maoe hapendi ule ujinga wao mi naamin wataacha,,,,,,
Siipend clouds ndo mana hata vipind vyake sivitambui
kuna magonjwa hua yanasababisha hiyo nyama kutoka nje huenda nae atakua ameugua,ni ugonjwa unaosababishwa na minyoo inaitwa trichuris trichiura huenda atakua anaumwa ugonjwa huo muulize vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.