Home wananiita useless kisa sina kazi, sina pesa, sina mbele wala nyuma, katika maisha yangu sijawai kupata nafasi yoyote ile ya kazi, nimesomea Clearing and Forwarding C&F, zaidi ya hiyo sina ujuzi wowote ule ila najifunza haraka, naombeni kazi yoyote kwa mwezi wa kwanza nipo radhi nifanye...