Natafuta rafiki

Natafuta rafiki

jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.
Umepata nyota ya jahaa..~!!
Ntakusaidi kwa hali na mali bila malipo, uzoefu wa hapa nchini na umbali usio na mipaka (borderless) horizon !!
 
nina marafiki lakini mwanaume at the en of the day atataka papuchi tu my dear labda kama si lijali..... take my words mwanaume atazunguka na wewe miaka hata kumi mwisho wa siku anawaza lini anafunua chupi yako
Hivi Mwanambuzi hata siku moja akikaa na chui boma moja lazima siku moja amtafune hata kama Mbuzi alikuwa mkubwa wakaleta kipaka cha chui kikikua kitaanza majaribio yakudandia shingoni siku nyingine kitamtafuna!Ipo siku huyo rafiki wako wakiume atakuzushia safari za mara kwa mara nazingine anazikwamisha makusudi ili mlale huko mnapata burudani hata kama si kunywa ila atakupa ushawishi ili ujae akulipue!Mwanaumme si rafiki wa mwanamke kamwe Learn from here!
 
kila la kheri, bila shaka utapata rafiki mzuri sana.

jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.
 
Hapana mimi ni mzazi hivyo napenda kuona mtu anafuata palipo nyooka kwani najua nini upendo hata mimi hutamani mtu kumpa upendo mnyoofu ambao upo chini ya moyo wangu hivyo kusema hivyo sikwa nia mbaya ni kwa nia njema ili baadae umpate umpendae kwani hapa nikama jangwani ukiweka nafaka zipepesuka na upepo hivyo siyo zote zitaangukia sehemu moja itategemea na spidi ya upepo! miss chagga nasema uongo?

nashukuru sana kwa maneno yako ya busara, nami naelewa mtandao ni uwanja mpana sana ni kama dunia nzima hivyo niko makini kuliko unavyoweza kufikiria. nasikitishwa tu na watu wanaodhani kuwa nina malengo mabaya. asante sana kwa ushauri mzuri nitaufata.
 
Sema wewe mke mwenza....huwezi kuchat na mwanaume akakuacha hivi hivi labda awe mcha Mungu. Lazima atataka akufunue tu....hata kama hana hata chembe ya upendo juu yako atataka akuchungulie hata mara moja tu ndo anaridhika

wewe mwache ajui wanaume ... wamnaume lao papuchi atazunguka mwisho wa siku ni kufunua tu
 
Yamkini ulizunguka kutafuta rafiki muda mrefu, yamkini ilikuwa bado mda wake. Huu ni wakati sahihi kwa sababu umenipata mimi, mwenye mahitaji ya sawia na ya kwako!
kijana mdogo, handsome ila hana pesa; ni pm tuongee zaid

Mwingine huyu. Pesa na uhendsam vinahusianaje na urafiki?
 
Hivi Mwanambuzi hata siku moja akikaa na chui boma moja lazima siku moja amtafune hata kama Mbuzi alikuwa mkubwa wakaleta kipaka cha chui kikikua kitaanza majaribio yakudandia shingoni siku nyingine kitamtafuna!Ipo siku huyo rafiki wako wakiume atakuzushia safari za mara kwa mara nazingine anazikwamisha makusudi ili mlale huko mnapata burudani hata kama si kunywa ila atakupa ushawishi ili ujae akulipue!Mwanaumme si rafiki wa mwanamke kamwe Learn from here!

si kweli ndugu yangu mimi nina marafiki wengi wa kiume na tunaheshimiana sana, tunapiga stori na kushare mambo mengi ya kimaisha na mwisho wa siku kila mtu anaendelea na mambo yake, sijui hii mitazamo mnaitoa wapi
 
wewe mwache ajui wanaume ... wamnaume lao papuchi atazunguka mwisho wa siku ni kufunua tu


nyie ndo hamjui wanaume kumbe, mwanaume ukimuweka wazi kipi unataka kipi hutaki na ukaweka your bounderies clear atakuheshimu sana na hawezi hata kukugusa, ni kwamba wanawake huwa tunawaza kuwa wanaume wanachowaza ni papuchi all the time which is not true. ukijilegeza lazima mwanaume akugonge tu
 
si kweli ndugu yangu mimi nina marafiki wengi wa kiume na tunaheshimiana sana, tunapiga stori na kushare mambo mengi ya kimaisha na mwisho wa siku kila mtu anaendelea na mambo yake, sijui hii mitazamo mnaitoa wapi
Mimi nakubaliana na wewe kwa hilo hao marafiki ambao mnaweza kuwa wote wawili na mkaheshimiana sio hawa JF ninaowajua ikiitwa Jambo forum!na sasa ni Jamii forums hivyo ukikutana namtu mtaani mkazoena taratibu mnaweza mkawa marafiki lakini hapa mnadani natiashaka labda ningekuwa siwajui mimi KakaKiiza!nakutakia kila laheri mimi yangu ni hayo!Mwisho namuomba Jembe langu lije limwage material hapa lara 1
 
Last edited by a moderator:
nyie ndo hamjui wanaume kumbe, mwanaume ukimuweka wazi kipi unataka kipi hutaki na ukaweka your bounderies clear atakuheshimu sana na hawezi hata kukugusa, ni kwamba wanawake huwa tunawaza kuwa wanaume wanachowaza ni papuchi all the time which is not true. ukijilegeza lazima mwanaume akugonge tu

Nyie mnaojidanganta bana papuchi upendwe..... mwanaume anahitaji papuchi kukaa na wewe bila hicho haiwezekani
 
Mimi nakubaliana na wewe kwa hilo hao marafiki ambao mnaweza kuwa wote wawili na mkaheshimiana sio hawa JF ninaowajua ikiitwa Jambo forum!na sasa ni Jamii forums hivyo ukikutana namtu mtaani mkazoena taratibu mnaweza mkawa marafiki lakini hapa mnadani natiashaka labda ningekuwa siwajui mimi KakaKiiza!nakutakia kila laheri mimi yangu ni hayo!Mwisho namuomba Jembe langu lije limwage material hapa lara 1

kama ambavyo unaweza kuchuja wa kitaani, hata hapa unaweza kuchuja, unapotezea tu kimya kimya coz sitafuti mwanaume wa kulala naye hapa jukwaani
 
Nyie mnaojidanganta bana papuchi upendwe..... mwanaume anahitaji papuchi kukaa na wewe bila hicho haiwezekani

uwiiiii ya kweli hayo??? sijui nyie mnakutana na wanaume wa sampuli gani, but for me, marafiki zangu wa kiume are different kwa kweli. rafiki ni rafiki kweli na hawezi ku cross the line
 
kwa umri huo unaohitaji wote kama si wengi watakuwa ni waume za watu ,je wewe umeolewa ?mume wako analijua hili la kutafuta marafiki?by the way all the best kwani binafsi siamini kama mke wangu atanielewa kuwa eti rafiki wa kubadilisha mawazo duuu ,

Objection your honor..
 
nina marafiki lakini mwanaume at the en of the day atataka papuchi tu my dear labda kama si lijali..... take my words mwanaume atazunguka na wewe miaka hata kumi mwisho wa siku anawaza lini anafunua chupi yako
Mkuu miss chagga umenivunja mbavu!! Mwambie huyo rafiki yako pengine ni mtoto mdogo ndo amevunja ungo juzi!! Chezea wanaume wewe, labda kama ana sura kama kinyago cha kuchongwa na Mgogo!! Vinginevyo papuchi ni halali yetu!! Mimi nimempa uzoefu wangu niliishia huko huko tena yeye mwenyewe anasema nakuonjesha mara moja tu hatutarudia tena!! Tabiri, kwani ilishia hiyo siku moja? Pengine labda na mwenzangu kitu kilimnogea!!

queeny, huko ulikoenda unaenda kuishia kuliwa papuchi!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom