Recent content by illestEl

  1. illestEl

    Ushauri kati ya architecture na Petroleum Engineering

    Asante kweli they value foreigners
  2. illestEl

    Ushauri kati ya architecture na Petroleum Engineering

    Asanteni wakuu nimewaelewa wote. Shukrani[emoji1545][emoji106]
  3. illestEl

    Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

    Uwiiii jamani naskia kulia aaaah[emoji24][emoji24][emoji24].. hasira zinanipanda hivi vote of no confidence c inaeza kupigwa. Wanaogopa nn jamani mbona nchi inaendeshwa kwa wazim lakini. Mara wanafunzi wafanye mtihani cjui wa usability mara cjui paspoti oooh Mara nn.. eeh Mungu embu tuondolee...
  4. illestEl

    Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

    Yani daaah eti IGP si tanzania nzima tungeekwa rok up[emoji23][emoji23][emoji23].. ayo majela yatajaa ss wataanza kubana matumizi ili yajengwe mengine
  5. illestEl

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Hopeless kabisa.. mtu anadiriki hata kukamata wana nchi kisa wanamkosoa jamani!? Hivi mlikua hamjaelewa tu [emoji23][emoji23][emoji23].. daaah miaka 3 sjawahi iona mingi hivi. Nikikumbuka nilivopiga kura roho inauma.. yani bora nisingepiga atleast nisingekua na maumivu haya
  6. illestEl

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Mambo ya miaka ya sabini yaachwe huko huko miaka ya sabini.. saivi tupo 2017 watu ni tofauti, jamii tofauti plus ppo are much informed sku hzi kila mtu anajua haki yake na kama kakiuka sheria pia rest assured anajua. Sasa mambo ya kina nyerere sjui oooh kituo cha polisi kiheshimu oooh cjui nn ss...
  7. illestEl

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Ni hulka ya mtu sio kabila mi naona
  8. illestEl

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Saivi kuimba na kufuta gari ni kosa la kisheria. Eti kwa sababu vimefanyika mbele ya kituo cha polisi. Watu hata hawajavunja amani wakamatwe [emoji23][emoji23][emoji23]. Passport nazo waeke vizuizi eti kila mtu akiwa nayo ndo chanzo cha safari za kubeba unga hivi jamani kweli passport nayo iwe...
  9. illestEl

    Kitendo cha kumchanganya Pengo na madawa ni cha hatari

    Exactly.. anyway watajijua wenyewe.[emoji57].. si hatuogopi kama ni anashukiwa atatajwa tu hatuogopi ndo majaribu hayo.[emoji13]
  10. illestEl

    Kitendo cha kumchanganya Pengo na madawa ni cha hatari

    Kwamba tutafungwa au[emoji23][emoji23][emoji23]... au atatuombea novena [emoji57][emoji13].. tutamtaja vizuri mi binafsi siogopi kumtaja pengo. Si hivi Pengo pengo pengo pengo pengo[emoji38][emoji57]
  11. illestEl

    Kitendo cha kumchanganya Pengo na madawa ni cha hatari

    Katoliki wanaonaga viongozi wa dini wao kama ni miungu ya dunia[emoji849][emoji849][emoji849].. stupid kabisa
  12. illestEl

    Kitendo cha kumchanganya Pengo na madawa ni cha hatari

    Kwani pengo ndo nani asitajwe jina?! Watu wanatumia jina la Yesu kwa matani mzaha na kebehi sembuse pengo?! Nini nyinyi bwana.. as long as ametoa mfano tu hajakosea chochote yani ameeka msstzo ndo maana [emoji57][emoji57].. pengoo pengo.. Eti hatari[emoji13]
  13. illestEl

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Raisi mbabe utafkiri nn.. sifa tuu
  14. illestEl

    Hivi kwanini Wema anapendwa?

    The Lord will heal ur soul from jelousy.. nimesoma comment yako ila yani the hate energy uliyotumia nimeihisi
Back
Top Bottom