Mbunge wa jimbo la KIGOMA mjini mh;zitto kabwe aliwahi kusema kwamba yeye binafsi hawezi kuona RAIS anaviza democrasi akakubali kitu hicho hakipo kama yeye atakua hai. Kutoka na na ujasi na ukakamavu wa zitto naomba aungwe mkono na wapende Democrasia nchi ili kuhakikisha zitto anashinda
Mchekeshaji wa mfalme wewe au unatakiwa CHEO? coz zitto anataka kufanya KONGAMANO ni haki ya kisheria na kikatiba sasa MABOM ya nini? Pia zitto ni MBUNGE wa kigoma MJINI buku ukuu!!!! Wewe
Magu hajitambui huwezi kujidhalilisha mwenyewe kwa kumuacha mchumba uliye muoa kwa mbwembwe na wandishi wa habari kibao leo unamuacha pia kwa mbwembwe yani maana wewe mme ndie mwenye mapungufu makubwa ya ukosefu subira , hekima na uvimilivu mdogo usiangali tu Anayetumbuliwa JIPU pia angalia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.