Recent content by ikushu

  1. I

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Tuwe makini jaman km mtu kaifanya poa lazima tumsifie na sio kwamba kua mpinzan kila kitu unapinga, binafsi hongera sana Raisi wetu kwa hii spid "MOTO PAMBA PASI"
  2. I

    Maamuzi magumu yatokane na fikra ngumu

    Unakijiushaid cha tuhuma zako nimpeleke mahakamani?
  3. I

    Taasisi ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ijitathimini

    Tatizo hawa wazee wetu hawawezi kusoma alama za nyakati
  4. I

    Ahadi ya Elimu bure kuanzia Primary hadi University, Je HESLB ifutwe?

    Kweli Tanzania kuna mawazo mgando sidhani Kama mtoa uzi ulitafakari kabla ya kuandika na Kama ndivyo basi utakua na tatizo LA kishabiki
  5. I

    Ndugu zangu wananinunia, nifanyeje?

    Hili ni jukwaa LA siasa boss
  6. I

    Sema usikike: Kwanini utamchagua Dr. Magufuli au Edward Lowassa?

    Mimi namchagua LOWASA ili kubadili system mzima ya serikali lengo ni kuwapa nafasi ccm wakajichuje wakiwa nje then ile cream itakayobaki warudi kuomba ridhaa kwetu tutawafikiria but kwa sasa nasema ccm yatosha coz mazoea hujenga tabia
  7. I

    Ni dhahiri jalada la kashfa ya Richmond litatinga mahakama kuu

    Taarifa ya escrow imeonesha hata majaji walivuta kdhaaa so hiz pilato za bongo ni zengwe tupu
  8. I

    Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

    Ww bbaba yako akiwa tajir ww unashindwaje kuwa?
  9. I

    Viongozi Wakuu wa NCCR - Mageuzi Watoa Tamko, Waikosoa UKAWA

    Aende tu hakuna namna kwa wale ambao hawajakaa vizuri ktk maamuzi yao yy co wakwanza
  10. I

    GE2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

    Tunachotaka tuitoe ccm hata lingesimamishwa jiwe ni sawa ilimrad ccm ing'oke
Back
Top Bottom