Tuwe makini jaman km mtu kaifanya poa lazima tumsifie na sio kwamba kua mpinzan kila kitu unapinga, binafsi hongera sana Raisi wetu kwa hii spid "MOTO PAMBA PASI"
Mimi namchagua LOWASA ili kubadili system mzima ya serikali lengo ni kuwapa nafasi ccm wakajichuje wakiwa nje then ile cream itakayobaki warudi kuomba ridhaa kwetu tutawafikiria but kwa sasa nasema ccm yatosha coz mazoea hujenga tabia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.