Recent content by Ikulumaliyawananch

  1. I

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe amdhihaki Tundu Lissu kwa kumuita CHIBA. Aomba radhi baada ya kulalamikiwa

    Zito ni Malaya wa kisiasa aliyekomaa. Ni mtu wa kupuzwa kabisa wala asitupotezee mda. Sasa hivi hata akigombea ubunge hawezi kushinda sehemu yoyote. Kaisha kufa kisiasa. Sasa njia yake ya kubaki kusiskika ni kupinga chadema na kujipendekeza kwa raisi ili Chama chake kipewe wabunge wa kuchongwa.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Katiba mpya ni takwa la watanzania wote sio ombi kwa ccm. Kazi ya raisi ni kusikiliza wananchi na sio vinginevyo.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Unajua kwanini katika mikutano ya Rais Samia na viongozi wa dini na machinga hakuna aliyemweleza kuhusu kupanda kwa bei za vyakula?

    Kwanzaa hakuna kiongozi wa ccm anaye weza kukutana na Wananchi bila kutanguliza bahasha Kwanzaa kwenda kuweka mambo Sawa. Yaani wakitaka kufanya mkutono sehemu ni kama vile ni setting ya movies. Wanaandaa watu wa Kuja kwenye mikutano maswali ya kuuliza wanaandikiwa na kupractice namna ya...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Wabunge hawawaogopi Bashiru Ally na Humprey Polepole, Kweli Dunia duara

    Bashiru na polepole hao wajiandae tu kufaa wakiwa ombaomba maumivu waliyo wapa watanzania kwa miaka mitano na nusu wakiwa kama wapambe wakubwa wa dictators Magufuli hawatapata amani maishani mwao kamwe.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Maombi kwa mwaka mpya wa 2021 na shukurani kwa Mungu kwa kutuvusha

    Maombi ya kuuaga mwaka wa 2020 na kuukaribisha mwaka mpya 2021. E Mungu Muumba mbingu, nchi na maji. Nakushukuru kwa kuwavusha watanzania wezangu salama katika mwaka wa 2020 na kuwakabidhi mwaka mpya wa 2021. Mungu mwaka ulio upita utufundisha mengi sana ila moja kubwa tulilo kubushwa ni...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Zitto ataka wanaoikosoa ACT-Wazalendo waanzishe chama chao

    ACT Wazalendo ni UDP na TLP iliyo chagamka. Na huyo Zitto ni Mrema na Cheyo wa kizazi kipya.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bashiru Ally awakaribisha ndani ya CCM Halima Mdee na wenzake

    unajua kitu ambacho ccm wanashindwa kuelewa kutokana na ufinyu wa fikira zao wanafikiri upizani ni viongozi maalufu hawajui kuwa hao viogozi maalufu wamekuwa maalufu kwa sababu ya msimamo wa chama chao wa kupigania haki. hata ukimuchukuwa Mbowe au tundu lissu ukamweka ccm akaanza kuhubili...
  8. I

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

    hivi mnajuwa hawa wabunge mnaowaona wakiendesha V 8 msifikili wanakitu. mishahara yao inaishia kununuwa mafuta ya kuviendesha. Mimi nafikiri kuna haja ya kubadili sheria za kugombea ubunge. ubunge hutakiwi kuwa kama ajira. mbunge anatakiwa kufanya ubunge kama Hobbs na sio ajira. kwa Tanzania...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Tanzania tulikosea wapi na Kenya walipatia wapi?

    Tanzania na Kenya zilipata uhuru mapema miaka ya 1960s. Leo zinakaribia miaka 60 tangu zipate uhuru. Nchi hizi mbili ni kama makaka wawili waliozaliwa tumbo moja ila kila mmoja kachukuwa njia tafauti katika kutafuta maisha. Na kwa mtazamo wa haraka Tanzania imefeli vibaya sana katika miaka...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

    Magufuli ni mshamba ile mbaya anafikili bado tupo enzi za miaka ya 1970 ambapo aliye kuwa na uwezo wa kuangalia tv alikuwa Nyerere peke yake. yaani hiyo anatengeneza tatizo halafu anakuja kulitatuwa ili aonekane kama superhero. akili ya kitoto kwelikweli. amewatuma watu waandike baruwa...
  11. I

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

    Magufuli ni takataka hata mke wake na wanaye hawata mpigia kura. hata yeye mwenyewe a ajuwa ila linazimisha tu kwakuwa bado lina mamraka ya kutumia majeshi ila ukweli halina ujaja wala akili ya kutawala hata kijiji.
  12. I

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rais Magufuli aingilia kampeni za Tundu Lissu Kazuramimba Kigoma

    hapo ni kuongeza ulinzi kwa tundu lissu, maana huyo anatembea na watu wasio julikana kwenye misafara take.
  13. I

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wagombea Ubunge wa CHADEMA walioenguliwa wapo zaidi ya wiki moja Dodoma Ofisi za Tume ya Uchaguzi

    wapuzi sana ccm wanajitapa kuwa wanakuballika ila wanataka ubunge na udiwani wa viti maalum. waende kwa wananch wawaeleze miaka mitano ya hapa kazi tu wamefanya nini ili wananchi waamuwe kuwaongeza mitano mingine au la. Vingenevyo kama tume itakubali kuitumbukiiza nchi kwenye machafuko kwa...
  14. I

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hoja fikirishi: CHADEMA kwanini mnadai Uhuru wa Vyombo vya Habari huku mkivinyima haki, kufukuza na kuvidhalilisha!?

    bora hata wamefukuzwa maana walikuwa wanataka kulisha propaganda za ccm kwa wafuwasi wa chadema, huku wakijifanya wanaonyesha mkutano wa chadema.
Back
Top Bottom