Huyo alikuwa anatamba hela yake ndiyo ilimpa ubunge. Yupo na jamaa zake wasiokuwa na akili kama yeye kina Jamal wanafanya mazoezi hapo uwanjani Kimanga Primary. Hovyo sana huyo Mahanga
Huwezi kufananisha kampeni za Obama na huyu jamaa yenu anayehangaika kununua Ikulu. Michango ya Obama ipo ndani ya utaratibu wa sheria za nchi yao pamoja na caps and limits za who can contribute and how much. Pia huruhusiwi kupokea michango kwa mtu ambaye si raia. Kwa kuanzia tu basi si vibaya...
UKAWA wakimpokea Lowassa itajishushia heshima iliyopo ya kuwa kiongozi wa mapambano ya ufisadi. Wawe na Lowassa wasiwe na Lowassa, Magufuli ndiye atakayeshinda uchaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.