Recent content by Ikombabhuki

  1. I

    Mdudu gani huyu?

    Muache karunguyeye aende zake ,hana shida mtu,
  2. I

    Nilipokutana na vibaka usiku nikiwa na girlfriend wangu

    Kapelekwa mtaa wa Jaluo huyu na sio matejoo!
  3. I

    Mwanafunzi wa kike kidato Cha 6 kanifata kanambia Ana MIMBA Ina wiki 3(ushauri hapo)

    Mnunulie vidonge atoe hiyo mimba amalize shule atazaa huko mbeleni, mnamshauri ailee na baba hajulikani,binti aharibu maisha yake wakati kijana anakula raha, atoe hiyo mimba haraka kabla haijawa hatarishi kwa maisha yake, binti ana haki ya kutimiza ndoto zake pia. Mnampa ushauri kama viongozi wa...
  4. I

    Upakiaji abiria ulipitiliza wa basi la mumuk, arusha - bukoba - karagwe leo jumamosi - 27 Aug 2022

    Basi hilo linaondoka stendi kahama saa 11 :00 jioni na polisi wameshafunga ofisi zao barabarani, abiria wengi ni wa Masumbwe,Ushirombo labda na Runzewe, wakitokea kaham kwa kuchelewa,wafanyakazi wa basi wanaokota cha mfukoni, si sahihi kujaza hivyo ila muda huo wadhibiti wengi wamerejea...
  5. I

    Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Nadhani kamwita hivyo kimzaha kwa ajili ya jina la injinia"Sina Akili"
  6. I

    Naombeni msaada kwa hii infinix smartphone

    Simu yako itakuwa na protector , ila protector hiyo ina nyufa nyingi upande wa juu wa kusikilizia, inakusanya uchafu wa vumbi na mafuta unapoiweka sikioni, hapo palipochafuka kuna sensor ndiyo inayosababisha ijizime, chukua njiti ya kiberiti, itafune kidogo kama mswaki, safishia kila palipo na...
  7. I

    TANZIA DCI wa zamani, Robert Manumba afariki dunia

    [emoji16] Panaitwa Mang'ombe!! Warembo nje nje! Masumbwe yetu! Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
  8. I

    Bila kuwa na kibali cha ujenzi ni marufuku kufanya ukarabati wowote wa nyumba yako jiji la Ilala na viunga vyake

    Huyo mwenyekiti unamvuta chemba unampa elfu kumi ya kubrashia viatu vyake naye apendeze aonekane kama mwenyekiti , anaangalia pembeni unakarabati nyumba yako hata wakimuuliza anawaambia ni yeye anakarabati nyumba yake, wanaachana naye ni mwenzao huyo. Hujui kula na viongozi wa chama kile Sent...
  9. I

    Serikali iboreshe sheria ya Ndoa za Kikristu ili ziruhusu talaka kuepusha mauaji na fumanizi

    Duh jf ina wajenga hoja wazuri sana SWALI: kuna rafiki yangu ndoa ilifungwa KKKT, wakazaa watoto watatu, mke akazingua na kutoka nje ya ndoa, jamaa akamkamata lkn hakutaka skendo ikaisha kimya kimya bila kukusanya ushahidi, baadae fununu zikazagaa kwamba mkewe anaendelea kimahusiano na mgoni...
  10. I

    Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

    Na Deo Haule mmiliki wa kampuni kubwa ya utalii ya Earthlife ya Arusha katutoka leo hii kwa Uviko 19. Tahadhari ni lazima ,dude linaua hili.
  11. I

    Ku-renew leseni ya udereva

    Mitano tena!
  12. I

    Tour Guide kuomba Watalii pesa ni moja ya sababu watalii hawataki kurudi Tanzania?

    Nimesoma lote, na mimi ni mdau ndio nakwambia tozo ndio tatizo mgeni anaangalia destination nafuu ili aweze kwenda na mwakani tena! Tanzania ni ghali sana na sababu ni hiyo ombaomba wamejaa dunia nzima. Tozo kubwa ndio laana ya utalii wetu
  13. I

    Tour Guide kuomba Watalii pesa ni moja ya sababu watalii hawataki kurudi Tanzania?

    Huyo mama kakupa sababu nyingi za watalii kutotaka kurejea nchini lkn wewe umeamua kwa sababu zako binafsi kuja na hio moja tu! Mbona bar ombaomba kibao lakini bado tunarudi kila siku kunywa, mtu akiombwa pesa ana option ya kutaa au kukubali hawalazimishwi na mtu. Lakini vipi kuhusu baa...
  14. I

    Muwe makini na ATM card zenu, kashalizwa mtu Milioni 28

    Ni bank gani hiyo makini tuhamie huko??
Back
Top Bottom