Mnunulie vidonge atoe hiyo mimba amalize shule atazaa huko mbeleni, mnamshauri ailee na baba hajulikani,binti aharibu maisha yake wakati kijana anakula raha, atoe hiyo mimba haraka kabla haijawa hatarishi kwa maisha yake, binti ana haki ya kutimiza ndoto zake pia. Mnampa ushauri kama viongozi wa...
Basi hilo linaondoka stendi kahama saa 11 :00 jioni na polisi wameshafunga ofisi zao barabarani, abiria wengi ni wa Masumbwe,Ushirombo labda na Runzewe, wakitokea kaham kwa kuchelewa,wafanyakazi wa basi wanaokota cha mfukoni, si sahihi kujaza hivyo ila muda huo wadhibiti wengi wamerejea...
Simu yako itakuwa na protector , ila protector hiyo ina nyufa nyingi upande wa juu wa kusikilizia, inakusanya uchafu wa vumbi na mafuta unapoiweka sikioni, hapo palipochafuka kuna sensor ndiyo inayosababisha ijizime, chukua njiti ya kiberiti, itafune kidogo kama mswaki, safishia kila palipo na...
Huyo mwenyekiti unamvuta chemba unampa elfu kumi ya kubrashia viatu vyake naye apendeze aonekane kama mwenyekiti , anaangalia pembeni unakarabati nyumba yako hata wakimuuliza anawaambia ni yeye anakarabati nyumba yake, wanaachana naye ni mwenzao huyo. Hujui kula na viongozi wa chama kile
Sent...
Duh jf ina wajenga hoja wazuri sana
SWALI: kuna rafiki yangu ndoa ilifungwa KKKT, wakazaa watoto watatu, mke akazingua na kutoka nje ya ndoa, jamaa akamkamata lkn hakutaka skendo ikaisha kimya kimya bila kukusanya ushahidi, baadae fununu zikazagaa kwamba mkewe anaendelea kimahusiano na mgoni...
Nimesoma lote, na mimi ni mdau ndio nakwambia tozo ndio tatizo mgeni anaangalia destination nafuu ili aweze kwenda na mwakani tena! Tanzania ni ghali sana na sababu ni hiyo ombaomba wamejaa dunia nzima. Tozo kubwa ndio laana ya utalii wetu
Huyo mama kakupa sababu nyingi za watalii kutotaka kurejea nchini lkn wewe umeamua kwa sababu zako binafsi kuja na hio moja tu! Mbona bar ombaomba kibao lakini bado tunarudi kila siku kunywa, mtu akiombwa pesa ana option ya kutaa au kukubali hawalazimishwi na mtu.
Lakini vipi kuhusu baa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.