Naombeni msaada kwa hii infinix smartphone

Naombeni msaada kwa hii infinix smartphone

GanaJr

Senior Member
Joined
May 26, 2020
Posts
120
Reaction score
215
Ndugu zangu naombeni msaada. Kuna hii simu natumia infinix.. Tatizo lake ukipigiwa simu ukapokea inakuwa kama imezima yaani huwezi kukata mpaka aliyekupigia akate yeye.. Hata ukipiga simu inakuwa hivyo hivyo tuu huwezi kukata maana inakuwa kama imezima.. Naombeni msaada wakuu maana inanitesa Sana.
 
Ndugu zangu naombeni msaada. Kuna hii simu natumia infinix.. Tatizo lake ukipigiwa simu ukapokea inakuwa kama imezima yaani huwezi kukata mpaka aliyekupigia akate yeye.. Hata ukipiga simu inakuwa hivyo hivyo tuu huwezi kukata maana inakuwa kama imezima.. Naombeni msaada wakuu maana inanitesa Sana.
Mkuu tafuta hela ununue nyingine,hiyo wape watoto wachezee.
 
Simu yako itakuwa na protector , ila protector hiyo ina nyufa nyingi upande wa juu wa kusikilizia, inakusanya uchafu wa vumbi na mafuta unapoiweka sikioni, hapo palipochafuka kuna sensor ndiyo inayosababisha ijizime, chukua njiti ya kiberiti, itafune kidogo kama mswaki, safishia kila palipo na vumbi kwenye protector, na kwenye front camera, utanishukuru baadae
 
Ndugu zangu naombeni msaada. Kuna hii simu natumia infinix.. Tatizo lake ukipigiwa simu ukapokea inakuwa kama imezima yaani huwezi kukata mpaka aliyekupigia akate yeye.. Hata ukipiga simu inakuwa hivyo hivyo tuu huwezi kukata maana inakuwa kama imezima.. Naombeni msaada wakuu maana inanitesa Sana.
Proximity sensor hiyo mkuu ndiyo tatizo, kama usha wahi kuweka touch mpya, au kioo kina cracks kwenye, au ushawahi kuiangusha na ikaangukia kioo hilo tatizo lazima litokee hasa kwa simu zenye complete display..
 
Ndugu zangu naombeni msaada. Kuna hii simu natumia infinix.. Tatizo lake ukipigiwa simu ukapokea inakuwa kama imezima yaani huwezi kukata mpaka aliyekupigia akate yeye.. Hata ukipiga simu inakuwa hivyo hivyo tuu huwezi kukata maana inakuwa kama imezima.. Naombeni msaada wakuu maana inanitesa Sana.
Nunua Samsung ,utanishukuru
 
Proximity sensor hiyo mkuu ndiyo tatizo, kama usha wahi kuweka touch mpya, au kioo kina cracks kwenye touch, au ushawahi kuiangusha na ikaangukia kioo hilo tatizo lazima litokee hasa kwa simu zenye complete display..
Jibu hili hapa
 
Proximity sensor hiyo mkuu ndiyo tatizo, kama usha wahi kuweka touch mpya, au kioo kina cracks kwenye, au ushawahi kuiangusha na ikaangukia kioo hilo tatizo lazima litokee hasa kwa simu zenye complete display..
Suluhisho hapo ni nini mkuu au ndo itabaki kuwa hivyo hivyo
 
wa Tz ni ubishi tu, humu kila siku watu wanaleta mada za kuwashinikiza muachane na hayo masimu yenye matoleo kila kukicha, lkn ubish wenu tu, haya sasa, iyo sim pelekea fundi itakuwa uliwai angusha sensor yake imezngua, inakuwa inajizima ukipokea sim, ama mtu akipokea, na haidiplay mpka sim ikatwe kwa mtu aliepigiwa/piga...wahi mapema kwani nafasi ni chache[emoji28][emoji28][emoji28]

...powerd by liquid protector.....

Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom