Watu kama nyie mna matatizo sana,. Hakuna kitu kinachoitwa kibali, kinachotakiwa ni taarifa kwa ajili ya kupata ulinzi basi, ndani ya masaa 48, usiongee ki kereketwa mkuu, hii nchi ni ya watanzania wote, hakuna mwenye hati miliki, vinginevyo futeni vyama vingi mueleweke.