Recent content by Ikemefuna funa

  1. I

    Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikutano ya kisiasa na maandamano

    Acha kujiondoa ufahamu mkuu,. Hivi nikuulize Kuna haja gani ya kuwepo vyama vingi, wakati vinazuiwa kufanya hata mikutano!!, hivi nini mantiki ya uwepo wake!!, wakati uhai wake unakuwepo kwa kuitisha mikutano??
  2. I

    Lowassa Kuongea Na Watanzania Jangwani November 8, 2015

    Watu kama nyie mna matatizo sana,. Hakuna kitu kinachoitwa kibali, kinachotakiwa ni taarifa kwa ajili ya kupata ulinzi basi, ndani ya masaa 48, usiongee ki kereketwa mkuu, hii nchi ni ya watanzania wote, hakuna mwenye hati miliki, vinginevyo futeni vyama vingi mueleweke.
  3. I

    CV ya Saed Kubenea, Joster Mwalugumbi na Kondo Tutindaga

    Lkn jamaani, mtu amehitaji cv ya nini kumkashifu??, kuuliza cv ni mhimu, sehemu yoyote ukiomba kazi lazima uambatanishe na cv yako. Kama hakuna jibu ni bora kukaa kimya.
  4. I

    Bunge la 11 kuandika historia

    Haya ni maajabu ya karne ase, yaani sijui dunia itatuonaje, yetu masikio na macho.
  5. I

    Wabunge wa CHADEMA hawajafanya jambo la busara

    We wasema, pilipili usokula mkuu...........
  6. I

    Pendekezo: Katibu mkuu wa CHADEMA awe Benson Kigaila

    Hakuna ukanda mbaya kama wa kurithishana, kama inavyotokea Sasa ccm. Yaani eti anatoka mzazi anakuja mwana, hatari sana.
  7. I

    Juma Duni kubaki CHADEMA?

    Tatizo maelezo yako yamejaa ushabiki zaidi kuliko hoja. Unaposema alienda huko kwa maslahi yake au mradi wake unamaana gani!!. Na je kwa kwanini unadhani ataachana au atarudi alikotoka??, mi nadhani hayo hayatuhusu ni juu yao wao.
  8. I

    Wameanza kuzikana ahadi walizotuahidi watanzania

    Ujanijibu mkuu, mwenye kuelewa tafadhari. Au hakuna aloona hilo tatizo.
  9. I

    Juma Duni kubaki CHADEMA?

    Ccm navyowajua kama asingekuwa mwana Chama wa CHADEMA wangesha muwekea pingamizi kabla ya kampeni.
  10. I

    Juma Duni kubaki CHADEMA?

    Watu kama nyie ndo bado mnaamini mtu akitoka ccm basi amejichumia majanga na hivyo hatofanikiwa kwa namna yoyote. Haya mawazo yamepitwa na wakati dada, maisha ni popote.
  11. I

    Wameanza kuzikana ahadi walizotuahidi watanzania

    Jamani hivi JF imekuwaje mbona mi nashindwa ku like??
  12. I

    Wameanza kuzikana ahadi walizotuahidi watanzania

    Yaani rasmu ya warioba ndo ilikuwa mwarobaini wa kila kitu,. Mahakama ni danganya toto tu na itakuwa ni matumizi Mabaya ya hela za wanyonge.
  13. I

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Hilo neno huwa linanikera, eti hatuwezi kumpa, kwani nyie mna hati miliki!!, hivi kama mnafikira hizo, vyama vingi vya nini Sasa.
  14. I

    Baba Lowassa, Sumaye na babu Kingunge sheria ni msumeno

    Mada nzuri sana mkuu, mkuki kwa nguruwe ilikuwa lakini kwa binadamu..........
  15. I

    Mdogo wangu kwa mama wa kambo ananitaka kimapenzi

    Mi nakushauri jenga picha kichwani, kisha fikiria kama unaweza kumuoa. Ukiona inawezekana fanya taratibu umuoe. Kama haiwezekani muache usimguse.
Back
Top Bottom