Mnalalamika maisha magumu, na Muda wa kutafuta maisha yenu hamna ila kutwa kutafuta kuchafua watu humu kwenye mitandao tu, mtaishia hivyo hivyo wenzenu wanaingiza mkwanja tu!! Shame on you
Poleni sana jamani, ukweli mimi mwenyewe ni mfanya biashara ya mbaazi, nilikuwa Nokisafirisha kwenda India,na baadhi ya jirani zake! lakini kwa sasa wamekuwa na Mbaazi ya kutosha mpaka miaka mwili!! So kwa sasa biashara ya Mbaazi ni shida, na kama mjuavyo watanzania huwa hatutumii sana Mbaazi...
Na bado mlimtukana sana baba Radhi, tena matusi makubwa, na mkumbuke alimwambia mtakumbuka!! Mlimwita Legelege sasa wakati huu tutajua nani kulegea!! Ahahahahaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.