Niseme ukweli, masha hata wananchi walimkataa ktk uchaguzi Wa 2010, ni mtu apendae kupigana tu, busara zero kabisa. Mungai alihalibu mfumo Wa elimu tz, akafuta kilimo Ufundi biashara mashuleni na physics aliunganisha na kemia hapo kuna kitu. Makongolo alichomfanyia Fred mpendazoe uchaguzi Wa...