Unachosema ni kweli kabisa hata mechi ya Yanga vs Simba inatakiwa kuchunguzwa haiwezekan wachezaji kukosa magoli ya wazi vile!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechaguliwa UDSM kozi ya ualimu lakini walipotoa majina ya wanufaika wa mikopo jina langu halimo je wanaweza kunikumbuka raundi ya pili?au nimekosa kabisa?naomba ushauri kwa mnaofahamu utaratibu !!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.