Saa tisa na nusu Alfajiri.Wakuu nataka kujua kwa saa za kibongo ni saa ngapi? Make nataka niushuhudie.
DuuuhSaa tisa na nusu Alfajiri.
Lazima yaani. Ila I wish Neymar angekuwa ndani. Any way hii mechi si ya kukosa.Utaamka?
Lazima yaani. Ila I wish Neymar angekuwa ndani. Any way hii mechi si ya kukosa.
Duuuh
Kwa hivyo La Pulga akili yake inataka huku mwili unakataa."I feel it ... I'm not what I was. I feel more and more tired match after match, every time a great performance comes out, it expends energy. Maybe the end is near. Days and events have passed."
The end is drawing closer for Messi. 😭
Kwa hivyo La Pulga akili yake inataka huku mwili unakataa.
Uzee ni noma, haukwepeki.
Hivi kistream kwa kutumia simu na PC kuna tofauti kwenye matumizi ya MB's maana nikitumia PC kifurushi kinawahi kuisha
Mkuu umebet?Wakuu nataka kujua kwa saa za kibongo ni saa ngapi? Make nataka niushuhudie.