Recent content by Ihunguru

  1. Ihunguru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa mtu ananitongoza, anatishia kuniendea kwa babu Niki endelea kumkataa

    Inabidi afungue ID nyingine lakini tatizo Lake akili za kukopa atajisahau tena
  2. Ihunguru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa mtu ananitongoza, anatishia kuniendea kwa babu Niki endelea kumkataa

    Matatizo ya kua muongo halafukubukumbu kiduchu una ID ngapi kuna alie notice huyu ni mtanashati alipoandika "Hance ungekua mwanamke....." nikajua kajichanganya tayari
  3. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Kuna Jamaa nimesikia anadai Nduli Idi Amin alipigwa na kuondolewa Madarakani kwa sababu za Kidini na alikuwa mtu safi na mcha Mungu

    Kwahio alivosema Kwanini Tanzania want bandari mbili akitaja ya Tana na ya dar maana hakujua ya mtwara akadai apewe ya Tanga vinginevyo Anachukua kagera na kuonesha mfano wa kushambulia kile kiwanda direct ili kuonesha hana utani nayo ilikua ni dini? wafuasi wa wa dini ya haki tumieni kiungo...
  4. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Wakali wa Location hapa ni wapi?

    No hapo ni mlima kitonga karibia kabisa na zile kona za mombo kwenda lushoto kabla hujafika daraja la mkapa mbele karibu na kibao cha mikumi ukiwa umetokea kia kuitafuta kwasadala karibu na mto Rusumo ukienda mbele kidogo unaitafuta boda ya tunduma mono wa kushoto ni chalinze.
  5. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Bollywood yawachonganisha waislamu na mabaniani huko India.Wanataka kuifuta historia iliyoandikwa na waislamu iliyoiletea maendeleo taifa hilo

    Kwanini kila comment umeng'ang'ania maumbile ya mama yake kuna tatizo mahali kwenye ubongo wako huoni kamaunamdhalilisha mwanamke? Any way utakua na laana ya kumpiga chabo mama yako
  6. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

    Mkùu sio kweli RC hawaangalii pesa wanaangalia ushiriki wako katika jumuia na kanisani Refer Mzee mrema yule wa Impala na Ngurdoto Padri alikataa wake wakapanda mpaka kwa Askofu akawaambia kaanzieni ngazi ya jumuia mpaka kwa paroko mje na majibu ikabidi watafute walokole uchwara wakawapa mpunga...
  7. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

    Dini ya haki ua watu Mia uende firdaus ukastarehe na mabikra 70 sasa sijui wewe bibi utastarehe na nani maana ni kwa wanaume tuu
  8. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    Mbudhaa kyava adou
  9. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Nduli kama Nduli....!!!

    Hawa ndio viongozi
  10. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Kulazimisha kuingiza mwili wa marehemu ndani kwake muda mwingine hadi chumbani kabla ya kumzika kuna maana gani?

    Kwa waislam maranyingi wao wakisha mleta marehem huwanamwishea ndani chumbani kwake waanza kumshonea sanda ila wakristo cjui ni lwann
  11. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania DAR: Mwanafunzi UDOM anyongwa

    Ile ilitokea bunju au tegeta kama sikosei binti alienda kumpokea mchumba aliekua anatokea mbea wote walikua wanakwaya
  12. Ihunguru

    JamiiForums Tanzania Wachaga waongo

    Iy Iyeeu mwanammeku
Back
Top Bottom