Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,698
Poleni wafiwa , nalaani hicho kitendo cha kukatisha maisha ya msichana mdogo . Ikithibitika ni mpenzi wake apewe adhabu kubwa ili iwe fundisho .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
